...Dawa ya wasaliti hii hapa...

...Dawa ya wasaliti hii hapa...

Mbona ka sijaelewa vilee...

Nilikuwa nadhani makesha wa jana Parokiani umenilewesha
Kumbe hata wewe hujaelewa kama mimi .....!!!!!!!!

Hainaga dawa hiyo ukimegewa nawe tafuta manyonge ummegee...

dawa iko wapi jamani

dawa iko wapi sasa?

Kwani wale wanaosalitiwa na kusaliti wenzi wao tupo nao kati yetu, sasa why hatujihangaishi kutafuta namna nzuri zaidi ya kupunguza wahanga?
 
ni hii wikiendi inanichanganya, au sjaelewa kweli??
 
Can u come up again? I haven't gotten yo point bro. Any body who have just understood what he meant please?
 
Kama wewe si msaliti na mzinzi una haki ya kulalamika na kutafuta dawa ya usaliti! Bahati mbaya 99.999% ni wazinzi na wasaliti ni vile hawajulikani kwa wenza wao na hawajakamatwa!
Hivyo ukichapiwa Dawa yake ni kufanya SIRI YA NDANI!!
 
Una nini asee sijawahi pepesa macho na kujiuma uma namna hii nkiambiwa hayo maneno teh...

Unazungumza na kidume HALISI ....over!!!!!

Hebu tupunguze longolongo
Nimekuambia nataka nikumege
Sema kama ni ndio nijue .....
 
Unazungumza na kidume HALISI ....over!!!!!

Hebu tupunguze longolongo
Nimekuambia nataka nikumege
Sema kama ni ndio nijue .....
Aaah wapi sisemi ndio wala sisemi hapana hadi nijivunge vunge kwanza...
 
Back
Top Bottom