Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,330
Wewe ni me au keMi ni agent, nauza na nishalijribu aseee nilikaa kwenye feni masaa mawili
Wewe ni me au keMi ni agent, nauza na nishalijribu aseee nilikaa kwenye feni masaa mawili
Kuna jamaaa alipaka,ngoma ilivyosimama hatari,akachukua kilo ya mchele akaweka kwenye mfuko harafu akapitisha kwenye dushelele,mbona ngom haikurudi chini
Huuu Ndio ukweli wenyeweVumbi la kongo ni kama spray yenyewe huwa ukianza kutumia basi uume hautasimama bila hivyo na kumbuka tu kwa mwanaume sio kila wakati huwa unataka usimamishe ili ufanye mapenzi wakati mwingine unasimamisha tu kama kipimo cha afya na uchangamfu wa mwili ukiikosa hiyo hali utakuwa dhaifu sana please n please again acheni kabisa hayo mambo kaa kifuani kwa binti kwa 20 up to 30 minutes unakuwa poa kabisa rudia mara nne au tano inatosha kwa msichana ambae mnapendana hatataka zaidi ya hapo kwani mapenzi ni zaidi ya ngono kuna kuongea na kula na mengine mengi
Kula tu vyakula vya kawaida basi kama ni shida sana kula asali karanga maziwa nazi tikiti mbona uume unakuwa kama mbao asubuhi kuliko hayo mavumbi
Na muache nyeto
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nakasirika sana nikiona hii biashara ovu kabisa yenye lengo baya na wale wanaosifia chaputa kama una kijana wa kiume ongea nae sana kuhusu viungo vya uzazi utamsaidia sanaHuuu Ndio ukweli wenyewe
PICHA TAFADHALI
Vumbi la kongo ndio habari ya Mjini
Post sent using JamiiForums mobile app
tukatafute hela kwenye jukwaa letu lile mkuu..Mkuu mbona unaleta utani kwenye mambo ya msingi? Dawa hiyo ntaipata wapi chief?
Usisahau kuwa huenda wanaochepuka na mkeo wanaitumia.Iyo kitu mm naiita mbwana samata atari sana Iyo naitumia kwa michepuko tu sio kwa mama yenu ndani
AhaahaaaaKitu cha Congo kina madhara. Nilimsikia daktari mmoja anasema unapotumia ile kitu mishipa ya dushee inakuwa forced kutanuka ili damu ipite kwa wingi na kwa speed. Matokeo yake ukizoea sana kuna siku utakosa hisia kabisa na mashine haitakuwa ikisimama tena. Japo haijulikani hilo baa litakufika lini, ni bora kuepuka na kutafuta njia salama na natural za kulast long enough.
Hiyo raha unayopata sasa na kuonekana kidume (kukomaa 3 hrs) huko mbeleni mashine itakuja kuwa rojo kama mrenda na utaishia kuwa unawashikashika watoto wazuri huku ukilalama "enzi zangu buana, nilikuwa nomaaa"
Mkuu nashida na wewe PMKitu cha Congo kina madhara. Nilimsikia daktari mmoja anasema unapotumia ile kitu mishipa ya dushee inakuwa forced kutanuka ili damu ipite kwa wingi na kwa speed. Matokeo yake ukizoea sana kuna siku utakosa hisia kabisa na mashine haitakuwa ikisimama tena. Japo haijulikani hilo baa litakufika lini, ni bora kuepuka na kutafuta njia salama na natural za kulast long enough.
Hiyo raha unayopata sasa na kuonekana kidume (kukomaa 3 hrs) huko mbeleni mashine itakuja kuwa rojo kama mrenda na utaishia kuwa unawashikashika watoto wazuri huku ukilalama "enzi zangu buana, nilikuwa nomaaa"
Mkuu nashida na wewe PM