Dawa ya vumbi la Kongo ni hatari kwa afya?

manSniper

JF-Expert Member
Sep 9, 2015
814
678
Kuna rafiki yangu juzi juzi alinipa dawa asili ya mti ni vumbi toka Kongo akaniambia nikifa faragha na mwenza wangu nichukue kidogo afu napaka na mate kwenye kichwa cha dushelele alafu naendelea na shughuli zangu.

Sasa ilifika wakati mwenza wangu tukaingia faragha yaani nilishangaa ile hali nilikua nasikia raha ya ajabu cha kushangaa sifiki kileleni mwenza kafika mara3 mimi bado ilichukua masaa 3 ndo napizi nilisikia kitu kinatoka mgongoni mpaka nilipiga kelele kwa utamu, nilihangaika kupata la pili halikutoka aisee.

Nataka kuuliza hivi linaweza kuwa na madhara?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom