DAWA YA UPWEKE NI NDOA

DAWA YA UPWEKE NI NDOA

Sasa hapo ndipo ninapoamini kuwa kwenye ndoa mwanaume akikosea basi anatakiwa asamehewe na avumiliwe ila mwanamke akikosea basi anatakiwa apigwe, asalitiwe, aachwe au aongezewe mke na kwanini iwe hivyo? Kwanini wote mnapokoseana msisameheane na msivumiliane? Kwanini umlipizie?

Hapana mwanamke akikosea hamna mahali pameandikwa apigwe...ila mwanamke atakutana na KOFI langu kama namuuliza ulikua wapi au umetoka wapi akanijibu nilikua dukani wakati nimemuona alikua Sehemu tofauti..hapo utakutana na KOFI(uongo sipendi)

Makosa mengine mnaongea tu kusalitiwa ni tabia ya mtu wala sio sababu ya kumfanyia mkeo kisa kakukosea..

kuongezewa mke pia ni Tabia ya mume nadhani kuongezewa mke kibali kinatoka kwa mke wa kwanza

Nikikosea nitaomba msamaha wala sitobisha wala jikweza

Siwezi mlipizia mwenzangu kama yalishapita...hata kama hayajapita kulipiza maana yake ni kurudia kosa la mwenzako Ambapo napo ni kufanya kosa tena,,sasa sidhani kama kuna mfanya kosa kwa makusudi.

Makosa ya makusudi nayoyajua ni kusema UONGO angali ukweli unaujua...ila hyo kulipizia haipo (kwamimi lkn)
 
Hapana mwanamke akikosea hamna mahali pameandikwa apigwe...ila mwanamke atakutana na KOFI langu kama namuuliza ulikua wapi au umetoka wapi akanijibu nilikua dukani wakati nimemuona alikua Sehemu tofauti..hapo utakutana na KOFI(uongo sipendi)

Makosa mengine mnaongea tu kusalitiwa ni tabia ya mtu wala sio sababu ya kumfanyia mkeo kisa kakukosea..

kuongezewa mke pia ni Tabia ya mume nadhani kuongezewa mke kibali kinatoka kwa mke wa kwanza

Nikikosea nitaomba msamaha wala sitobisha wala jikweza

Siwezi mlipizia mwenzangu kama yalishapita...hata kama hayajapita kulipiza maana yake ni kurudia kosa la mwenzako Ambapo napo ni kufanya kosa tena,,sasa sidhani kama kuna mfanya kosa kwa makusudi.

Makosa ya makusudi nayoyajua ni kusema UONGO angali ukweli unaujua...ila hyo kulipizia haipo (kwamimi lkn)
Mmhh ya kweli haya au ndo ya jf tuyaache jf? Sawa kwahiyo na wewe utakuwa haumdanganyi mkeo kabisa?
 
Haya vipi na zile ndoa ambazo mwanaume anatafuta pesa na kuhudumia watoto tu hafanyi kazi za nyumbani wala halei watoto halafu mwanamke anatafuta pesa anahudumia watoto anafanya kazi za nyumbani na analea watoto nani hapo anafanya majukumu mengi na nani hapo anastahili kuwa juu?

Hapo umesema mwanaume anahudumia watoto (imetosha kabisa)

Halei watoto (kivipi tena) yani unataka baba arudi kazini aanze kujua mtoto flani kakojoa au hajakojoa? mtoto flani kalala mchana au hajalala? nk kweli ndo unavyotaka sio?

Yani ni kwamba mimi nafanya kazi,wewe unafanya kazi lakini ukumbuke tunapoenda Makazini Edelyn mama angu,tunateseka huko sana sana...so hizo kazi za nyumbani ni haki yenu kuzifanya 100% maana hata mimi nikiwa huko kazini nafanya kazi ngumu zaidi ya hizo za nyumban za kupika na kufanya usafi.

Na kwenye malezi imekua hivyo kutokana na nature tangu mtoto anapozaliwa muda mrefu anakaa mikononi mwa mama, ndie anaejua mtoto kajisaidia mtoto kajikojolea..sasa unataka jukumu lenu na wanaume walifanye?

Niulize week end ninapokaa nyumbani halafu sikusaidi chochote hapo sawa..ila week days asee nyie endeleeni na majukumu yenuuo ndio unaitwa mgawanyo wa majukumu so hamna wa kua juu ya mwenzake zaidi tu ya baba anatakiwa kuheshimika sana....
 
Sasa hapo ndipo ninapoamini kuwa kwenye ndoa mwanaume akikosea basi anatakiwa asamehewe na avumiliwe ila mwanamke akikosea basi anatakiwa apigwe, asalitiwe, aachwe au aongezewe mke na kwanini iwe hivyo? Kwanini wote mnapokoseana msisameheane na msivumiliane? Kwanini umlipizie?
Na ndomana ndoa zenu hazidumu..muulize bibi yako aliishi vipi na babu na matatizo ya babu yako...tena mababu kwa michepuko walikua nux
 
It's comrade, a.k.a The man himself! A.k.a Mfalme wa Nyika, Namba 9 mgongoni mshambuliaji hatari.

Ni kwa Mara nyingne teeena mbele ya upeo wa mboni yako, ninarindima hapa jamviniii


Anaandika KIPEPE....
******-
Aseeee nipo kitandani hapa mida hiii nawaza umri unasonga natamani namimi nipate mke aseee

Mtanda wote huuu sita kwa sita najibilingilisha tuu mithili ya panya aliekunywa sumuuuu, ungekuta midaa hiii nipo na mke halali hapa tunayajenga yetu ya familia..

Duuuuh asee tuoeni vijana tuache uzinzi yani Mimi nikipata wife material naoaaaaa, kama una unaempenda oaneni tuu msisubirie sana halalisheni ndoa na Mungu awabariki sanaaaa


Ohhoooo
Ndiio mwisho hapooo

Fyaaaaa kama Bomu la nyukliaaa yuleeeeeeee
Muda wako ukifika oa,ila usilazimishe au watu wasikulazimishe kuingia ktk ndoa.unaeishi na huyo mwanamke ni wewe sio watu
 
Sawa umesema pesa haimfanyi mwanamke kuwa juu ya mwanaume ila naomba nikuulize swali kwani ni kipi kinachomfanya mwanaume kuwa juu ya mwanamke?
Kwa sababu yupo strong kuliko mwanamke(caster semenya),so na majukumu mazito ni yake,ndiye aliyemchagua mwanamke ili aishi nae,anachakarika kipindi chote cha mwaka yaani habebi mimba ikawa kikwazo wala hana siku zake,ndiye mmiliki wa kaya sababu watoto watakaozaliwa 75%+ wana viini tete vyake vya nasaba(genes)
 
Na ndomana ndoa zenu hazidumu..muulize bibi yako aliishi vipi na babu na matatizo ya babu yako...tena mababu kwa michepuko walikua nux
Usilojijua ni sawa na usiku wa giza yaani unawatolea mifano bibi zetu ambao hawakuwa na sauti wala uhuru wa kujieleza? Unadhani wangeweza vipi kusema kwamba walikuwa hawayapendi hayo maisha? Ilibidi waumie ndani kwa ndani tu

HAKUNA mwanamke anayefurahia hayo maisha narudia tena HAKUNA mwanamke anayefurahia hayo maisha yaani umekosee mkeo makusudi halafu akuvumilie ila yeye akikukosea umuadhibu? Kwahiyo wanaume mnaona ni sawa tu mwanamke aishi maishi asiyoyafurahia kwenye ndoa maisha yake yote ili tu ninyi mfurahi?
 
Hapo umesema mwanaume anahudumia watoto (imetosha kabisa)

Halei watoto (kivipi tena) yani unataka baba arudi kazini aanze kujua mtoto flani kakojoa au hajakojoa? mtoto flani kalala mchana au hajalala? nk kweli ndo unavyotaka sio?

Yani ni kwamba mimi nafanya kazi,wewe unafanya kazi lakini ukumbuke tunapoenda Makazini Edelyn mama angu,tunateseka huko sana sana...so hizo kazi za nyumbani ni haki yenu kuzifanya 100% maana hata mimi nikiwa huko kazini nafanya kazi ngumu zaidi ya hizo za nyumban za kupika na kufanya usafi.

Na kwenye malezi imekua hivyo kutokana na nature tangu mtoto anapozaliwa muda mrefu anakaa mikononi mwa mama, ndie anaejua mtoto kajisaidia mtoto kajikojolea..sasa unataka jukumu lenu na wanaume walifanye?

Niulize week end ninapokaa nyumbani halafu sikusaidi chochote hapo sawa..ila week days asee nyie endeleeni na majukumu yenuuo ndio unaitwa mgawanyo wa majukumu so hamna wa kua juu ya mwenzake zaidi tu ya baba anatakiwa kuheshimika sana....
Naona haujanielewa nimesema kama wote na mkeo mnafanya kazi zinazotumia akili nyingi na wote mnarudi nyumbani usiku mmechoka halafu bado mke akirudi nyumbani anafanya kazi za nyumbani peke yake haumsaidii hilo unaona ni sawa kweli? Kumbuka WOTE mnafanya kazi siyo wewe peke yako
 
Mmhh ya kweli haya au ndo ya jf tuyaache jf? Sawa kwahiyo na wewe utakuwa haumdanganyi mkeo kabisa?
Ya JF unachanganya na zako kidogo 😂 😂 😂

Uongo mimi huwa nadanganyaga sana tu ila uongo wenye MANTIKI na FAIDA kwa mke wangu ila sio uongo wa kutia ndoa/mahusiano mashakani.

Mfano : Mke/mpenzi wangu kanikataza tabia ya Ku.bet namimi napenda ku bet so ninachofanya nabet kisiri siri..nikitoka namwambia naenda hapo mbele nakuja nikirudi akiniuliza umetoka wapi namjibu nilikua kwa kina Edelyn nimetoka msalimia.

Hapo kumbe nimetoka zangu ku bet...nikila nakuja na hela home nanunua mahitaji ya home na mahitaji mengine nakupa wife unachekelea unaona nakujali ila uschojua ni ule uongo wangu leo hii unakufanya ucheke/ufurahi.

Au

Hupendi nifanye biashara na mtu fulani,kila ninapofanya nae biashara hua anaishia kunidhulumu,mimi nikirudi home nakusimulia wife flani kanidhulumu tena na leo hela...Basi unanikanya Marufuku kufanya nae biashara nakuitikia SAWA.

iLA kwakua najua jamaa ana mishe nyingi naendelea kufanya nae biashara kimya kimya sikwambii tena akinidhulumu nauchuna zikitiki nakwambia...Huo ndio uongo wangu

Sina uongo wa kusema hii yeupe niseme ni nyeusi.
 
Usilojijua ni sawa na usiku wa giza yaani unawatolea mifano bibi zetu ambao hawakuwa na sauti wala uhuru wa kujieleza? Unadhani wangeweza vipi kusema kwamba walikuwa hawayapendi hayo maisha? Ilibidi waumie ndani kwa ndani tu

HAKUNA mwanamke anayefurahia hayo maisha narudia tena HAKUNA mwanamke anayefurahia hayo maisha yaani umekosee mkeo makusudi halafu akuvumilie ila yeye akikukosea umuadhibu? Kwahiyo wanaume mnaona ni sawa tu mwanamke aishi maishi asiyoyafurahia kwenye ndoa maisha y
ake yote ili tu ninyi mfurahi?
Tatizo lako unataka usawa kwa viumbe wawili tofauti,jambo ambalo haliwezekani...mmoja anavaa pedi mwingine ana mappumbu...kinachotakiwa ni haki sio usawa...hakuna anaenyimwa uhuru wa kujieleza,kama unataka usawa funga ndoa na mwanamke mwenzio
 
Kwa sababu yupo strong kuliko mwanamke(caster semenya),so na majukumu mazito ni yake,ndiye aliyemchagua mwanamke ili aishi nae,anachakarika kipindi chote cha mwaka yaani habebi mimba ikawa kikwazo wala hana siku zake,ndiye mmiliki wa kaya sababu watoto watakaozaliwa 75%+ wana viini tete vyake vya nasaba(genes)
Kwahiyo kama mwanamke naye anafanya majukumu ya mume basi mwanaume hastahili heshima si ndiyo?
 
Usilojijua ni sawa na usiku wa giza yaani unawatolea mifano bibi zetu ambao hawakuwa na sauti wala uhuru wa kujieleza? Unadhani wangeweza vipi kusema kwamba walikuwa hawayapendi hayo maisha? Ilibidi waumie ndani kwa ndani tu

HAKUNA mwanamke anayefurahia hayo maisha narudia tena HAKUNA mwanamke anayefurahia hayo maisha yaani umekosee mkeo makusudi halafu akuvumilie ila yeye akikukosea umuadhibu? Kwahiyo wanaume mnaona ni sawa tu mwanamke aishi maishi asiyoyafurahia kwenye ndoa maisha yake yote ili tu ninyi mfurahi?
Hawakuwa na uhuru wala sauti lakini wamezikana...nyinyi mnaoenda kwenye ndoa mkiwa na mission nyingi na kutaka usawa ndo mnaishia miaka mitatu..hakuna usawa kwa viumbe wawili tofauti ila kuna haki,huwezi kumpa ngamia na mbuzi vipimo sawa vya maji ukaona haina shida
 
Ya JF unachanganya na zako kidogo

Uongo mimi huwa nadanganyaga sana tu ila uongo wenye MANTIKI na FAIDA kwa mke wangu ila sio uongo wa kutia ndoa/mahusiano mashakani.

Mfano : Mke/mpenzi wangu kanikataza tabia ya Ku.bet namimi napenda ku bet so ninachofanya nabet kisiri siri..nikitoka namwambia naenda hapo mbele nakuja nikirudi akiniuliza umetoka wapi namjibu nilikua kwa kina Edelyn nimetoka msalimia.

Hapo kumbe nimetoka zangu ku bet...nikila nakuja na hela home nanunua mahitaji ya home na mahitaji mengine nakupa wife unachekelea unaona nakujali ila uschojua ni ule uongo wangu leo hii unakufanya ucheke/ufurahi.

Au

Hupendi nifanye biashara na mtu fulani,kila ninapofanya nae biashara hua anaishia kunidhulumu,mimi nikirudi home nakusimulia wife flani kanidhulumu tena na leo hela...Basi unanikanya Marufuku kufanya nae biashara nakuitikia SAWA.

iLA kwakua najua jamaa ana mishe nyingi naendelea kufanya nae biashara kimya kimya sikwambii tena akinidhulumu nauchuna zikitiki nakwambia...Huo ndio uongo wangu

Sina uongo wa kusema hii yeupe niseme ni nyeusi.
Sasa mbona uongo unaouongelea wewe ndo huo huo uliomkataza mkeo? Wa kukudanganya kuwa alikuwa dukani kumbe alikuwa kwa jirani? Hata yeye si anakuwa amekudanganya ili kunusuru ndoa yenu?
 
Kumbe unajua kuwa kinachotakiwa ni haki sasa kama kinachotakiwa ni haki unaona ni haki mwanaume kumkosea mwanamke halafu anataka amvumilie ila mwanamke akimkosea mwanaume anaadhibiwa?

Kwani mwanaume anapokosea anaadhibiwa na nani? Huo mnaouita ni usawa ndo njia pekee za kufanya wote mfurahie ndoa ila wanaume mnataka kufanya vile vitu ambavyo vitawafurahisha nyie tu wanawake wasipofurahi nyie haiwahusu
 
Hawakuwa na uhuru wala sauti lakini wamezikana...nyinyi mnaoenda kwenye ndoa mkiwa na mission nyingi na kutaka usawa ndo mnaishia miaka mitatu..hakuna usawa kwa viumbe wawili tofauti ila kuna haki,huwezi kumpa ngamia na mbuzi vipimo sawa vya maji ukaona haina shida
Wewe mbona umeng'ang'ania usawa kwani kuna mtu amekwambia anataka usawa? Nijibu hili swali unataka mwanaume akikosea avumiliwe na asamehewe ila mwanamke akikosea apigwe, asalitiwe, aachwe au aongezewe mke?
 
Wewe mbona umeng'ang'ania usawa kwani kuna mtu amekwambia anataka usawa? Nijibu hili swali unataka mwanaume akikosea avumiliwe na asamehewe ila mwanamke akikosea apigwe, asalitiwe, aachwe au aongezewe mke?
Suala la kusameheana ni suala la wahusika na si kwamba wanawake hawakosei na wakakosa kusamehewa kwenye ndoa zao..labda yalikukuts peke ysko
 
Back
Top Bottom