drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
jamani naomba dawa ya uchovu yani nasumbuliwa na uchovu kwa mda mrefu sana sijui ni ratiba na kazi yangu kwani nashinda kwenye computer mda mwingi alafu nachelewa sana kulala uchovu wenyewe nausikia zaidi kichwani yani kichwa kinakuwa kizito sana nahisi naumwa ukienda hosptal kila k2 kipo normal unaishiwa kupewa vitamin kilo zimepungua kidogo now ni 105 cjui kama ni tatizo najua hapa kuna wataalamu wengi na nitapa ushauri nasaha karibuni wakuu