Dawa ya Tezi dume

Maharo

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
3,551
Reaction score
2,709
Msaada kwenye tuta wanajamvi

Anaefahamu dawa ya uhakika ya kutibu Tezi dume kwa wazee anijulishe tafadhali

Whether iwe best hospital au miti shamba ushauri wowote mzuri napokea

Asanteni kwa ushirikiano
 
Hujasema hiyo BPH ina ukubwa gani ama hali ipi (anakojoa damu ama)ili usaidike? Inatibika kwa chakula na mimea tiba. Nina ushuhuda so wahi kabla haijaheuka kuwa saratani
 
Msaada kwenye tuta wanajamvi

Anaefahamu dawa ya uhakika ya kutibu Tezi dume kwa wazee anijulishe tafadhali

Whether iwe best hospital au miti shamba ushauri wowote mzuri napokea

Asanteni kwa ushirikiano
Poleni mkuu. Uvimbe wa tezi dume unatibiwa na mmea unaitwa voacanga Africana au mbwewe kiswahili. Pia kula mbegu 2 za tunda hili ni kinga ya tezi dume kama mwanaume umefika miaka 40. Kama uko mbali na SUA au MUHAS, tuwasiliane kwa 0713 039 875. Dozi tuloandaa ya mwezi mmoja tzs 120,000

 
Habari.. vipi mgonjwa alishafanyiwa operesheni kabla? Kama hapana, basi Iko tiba ya dawa kienyeji.. mshua wangu imemponya, ilimchapa alikua analia kama mtoto mdogo, na babu yangu pia aliandikiwa operesheni kwenda Benjamin Mkapa Dodoma..nikawaambia please wait, akapata hiyo dawa na sasa yupo shwari, imagine babu ana 98Yrs now.
 
Kimbiza huyo Mzee hospital,tezi dume inaua sio ya kuitafutia dawa mtandaoni.
 
Hivi Tezi dume inasababishwa na nini?
 
Mkuu si ungeshea hapa Hiyo dawa uokoe jahazi.
 
Msaada kwenye tuta wanajamvi

Anaefahamu dawa ya uhakika ya kutibu Tezi dume kwa wazee anijulishe tafadhali

Whether iwe best hospital au miti shamba ushauri wowote mzuri napokea

Asanteni kwa ushirikiano
 
Msaada kwenye tuta wanajamvi

Anaefahamu dawa ya uhakika ya kutibu Tezi dume kwa wazee anijulishe tafadhali

Whether iwe best hospital au miti shamba ushauri wowote mzuri napokea

Asanteni kwa ushirikiano
Upo serious au unatania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…