Dawa ya Tezi dume

Dawa ya Tezi dume

Poleni mkuu. Uvimbe wa tezi dume unatibiwa na mmea unaitwa voacanga Africana au mbwewe kiswahili. Pia kula mbegu 2 za tunda hili ni kinga ya tezi dume kama mwanaume umefika miaka 40. Kama uko mbali na SUA au MUHAS, tuwasiliane kwa 0713 039 875. Dozi tuloandaa ya mwezi mmoja tzs 120,000

View attachment 3665684
Kila kitu ni dawa...plus fursa
 
Msaada kwenye tuta wanajamvi

Anaefahamu dawa ya uhakika ya kutibu Tezi dume kwa wazee anijulishe tafadhali

Whether iwe best hospital au miti shamba ushauri wowote mzuri napokea

Asanteni kwa ushirikiano
Fanta upasuji kwbla haijageuka kuwa kansa dawa za mtaani hazinaga matokea chanya
 
Back
Top Bottom