Dawa ya swali 'Namba yangu umeitoa wapi?'

Kwa mwanamke anaejitambua atakujua tu kwamba unataka kumtapeli, na atakurudishia pesa yako yote.

Huyo utakaempata kwa hiyo njia hata ungempigia ukamwambia umekosea namba, ataingia mtegoni tu hata bila kujifanya umekosea namba ukamtumia elfu moja.

Ni kweli wanawake wanapenda watu wastaarabu na waungwana lakini hawapendi kufanywa mazuzu na kuonyeshwa ustaarabu feki.
 
RRONDO Hebu jaribu kwangu tuone kama itafanya kazi😉😉
 
Akili yako iko Kwa wanawake wote
 
Mwanamke na pesa ni kama paka na samaki. Ila wala sikushangai leo wengi mtasema pesa sio issue ila ukweli uko wazi
 
200,000 ya Zimbabwe au hii hii pesa halali kwa malipo ya Tanzania????
 
Bandiko hili ni uthibitisho tosha kwamba zinaa huleta umaskini.

Unamtumia mtu laki 2 kwa umaarufu gani? Hicho kikojolea tu?
 
Namba yangu unayo ila mbona hukosei ndugu yangu?
Fanya kukosea hata laki tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…