livewise1
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 837
- 952
Good morning JF.
Aisee desires can f**k your whole fate.
Rafiki yangu anaumwa mdudu kidole gumba cha mkono wa kulia (kimevimba, watu wa bara huita mdudu). Watu wengi wamemshauri dawa tofauti tofauti za kienyeji atumie zitampa nafuu au kupona kabisa.
Dawa hii moja imeleta kasheshe na kuharibu/kutengeneza fate ya mtu. Kuna mtu mzima amemwambia jamaa "Dawa nzuri ni kuzamisha kidole kwenye tupu ya nyuma ya mwenzi wake" jamaa akacheka na kuona haya ni maajabu!
Akamtext mchumba wake "eti babes nimeambiwa dawa nzuri ya huyu mdudu ni kuzamisha nyuma kwa mpenzi wangu"
Mpenzi akamuuliza jamaa "una uhakika utapona?" Jamaa akasema huenda nikapona japo sikuwahi kusikia kitu hiki ila dunia ina mengi.
Guess what? Mpenzi wake kampa pole jamaa halafu akasema, " nitakuja basi nikupe tiba my, ila si ni mara moja tu eeh!?"
Sasa jamaa akaguna na kuwaza mmh, that simple!? Akili ikamwambia "we mwambie akupe mara mbili kwa mwezi upakue kisamvu mbali na kutia dole"
Jamaa akasema "baby si utanipa kisamvu walau mara mbili kwa mwezi jaman?" Demu akasema " mara mbili staki labda mara moja tu tena kwa wewe"
Asalaalee! Jamaa hana appetite mpaka sasa, alipanga kufanya taratibu za kumuowa huyu binti next month. Nikamwambia, mkuu shukuru Mungu amekujulisha hiyo tabia ya mwenzako mapema-umeijua. Amua unachotaka sasa!
Jamaa anasema fate imeharibika na fate imetengenezwa kwa kujua ukweli. Ameamua kusafiri Mombasa akae nae mbali.
Ila si ni life tu!
NB: huyu alikuwa ashamuwekea nia kuowa japo hakumwambia bado.
: wakati akimuelezea kuhusu dawa alidhani demu hatokubali kwa jinsi anavyomjua (kumbe hakumjua vizuri)
: jamaa alishtushwa na ile kauli ya kukubaliwa kupewa nyuma kwa vile ni yeye tu. Je, hao wengine?
-mi nikamwambia too much expectations will kill you-
Najua ni ngumu kuamini ila huna cha kufanya, demu wako anatumika vibaya!
It's insane.
Aisee desires can f**k your whole fate.
Rafiki yangu anaumwa mdudu kidole gumba cha mkono wa kulia (kimevimba, watu wa bara huita mdudu). Watu wengi wamemshauri dawa tofauti tofauti za kienyeji atumie zitampa nafuu au kupona kabisa.
Dawa hii moja imeleta kasheshe na kuharibu/kutengeneza fate ya mtu. Kuna mtu mzima amemwambia jamaa "Dawa nzuri ni kuzamisha kidole kwenye tupu ya nyuma ya mwenzi wake" jamaa akacheka na kuona haya ni maajabu!
Akamtext mchumba wake "eti babes nimeambiwa dawa nzuri ya huyu mdudu ni kuzamisha nyuma kwa mpenzi wangu"
Mpenzi akamuuliza jamaa "una uhakika utapona?" Jamaa akasema huenda nikapona japo sikuwahi kusikia kitu hiki ila dunia ina mengi.
Guess what? Mpenzi wake kampa pole jamaa halafu akasema, " nitakuja basi nikupe tiba my, ila si ni mara moja tu eeh!?"
Sasa jamaa akaguna na kuwaza mmh, that simple!? Akili ikamwambia "we mwambie akupe mara mbili kwa mwezi upakue kisamvu mbali na kutia dole"
Jamaa akasema "baby si utanipa kisamvu walau mara mbili kwa mwezi jaman?" Demu akasema " mara mbili staki labda mara moja tu tena kwa wewe"
Asalaalee! Jamaa hana appetite mpaka sasa, alipanga kufanya taratibu za kumuowa huyu binti next month. Nikamwambia, mkuu shukuru Mungu amekujulisha hiyo tabia ya mwenzako mapema-umeijua. Amua unachotaka sasa!
Jamaa anasema fate imeharibika na fate imetengenezwa kwa kujua ukweli. Ameamua kusafiri Mombasa akae nae mbali.
Ila si ni life tu!
NB: huyu alikuwa ashamuwekea nia kuowa japo hakumwambia bado.
: wakati akimuelezea kuhusu dawa alidhani demu hatokubali kwa jinsi anavyomjua (kumbe hakumjua vizuri)
: jamaa alishtushwa na ile kauli ya kukubaliwa kupewa nyuma kwa vile ni yeye tu. Je, hao wengine?
-mi nikamwambia too much expectations will kill you-
Najua ni ngumu kuamini ila huna cha kufanya, demu wako anatumika vibaya!
It's insane.