St. Paka Mweusi JF-Expert Member Sep 3, 2010 7,639 4,526 Nov 14, 2010 #1 Madereva wote wenye tabia ya kuendesha magari wakiwa wamelewa inafaa wajengewe nyumba za kuishi nyuma ya huu mlima.
Madereva wote wenye tabia ya kuendesha magari wakiwa wamelewa inafaa wajengewe nyumba za kuishi nyuma ya huu mlima.
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,329 33,139 Nov 14, 2010 #4 Paka mweusi said: Madereva wote wenye tabia ya kuendesha magari wakiwa wamelewa inafaa wajengewe nyumba za kuishi nyuma ya huu mlima. Click to expand... Lakini huo Mlima au hiyo Barabara haipo hapo bongo? Au Serikali ijenge hivyo kuwakomowa Madereva Walevi? Je Serikali yetu yaweza kufanya hivyoooooooooooooo?
Paka mweusi said: Madereva wote wenye tabia ya kuendesha magari wakiwa wamelewa inafaa wajengewe nyumba za kuishi nyuma ya huu mlima. Click to expand... Lakini huo Mlima au hiyo Barabara haipo hapo bongo? Au Serikali ijenge hivyo kuwakomowa Madereva Walevi? Je Serikali yetu yaweza kufanya hivyoooooooooooooo?
M MOMO Member Feb 10, 2008 83 3 Nov 14, 2010 #5 Paka mweusi said: Madereva wote wenye tabia ya kuendesha magari wakiwa wamelewa inafaa wajengewe nyumba za kuishi nyuma ya huu mlima. Click to expand... We ujatulia mwana...tehtete
Paka mweusi said: Madereva wote wenye tabia ya kuendesha magari wakiwa wamelewa inafaa wajengewe nyumba za kuishi nyuma ya huu mlima. Click to expand... We ujatulia mwana...tehtete
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 Nov 14, 2010 #6 Paka mweusi said: Madereva wote wenye tabia ya kuendesha magari wakiwa wamelewa inafaa wajengewe nyumba za kuishi nyuma ya huu mlima. Click to expand... nadhani pembeni ya mlima huu yawe makazi ya celebs kama chenge, tid na majaji. Nadhani watarudi nyumbani mapema.
Paka mweusi said: Madereva wote wenye tabia ya kuendesha magari wakiwa wamelewa inafaa wajengewe nyumba za kuishi nyuma ya huu mlima. Click to expand... nadhani pembeni ya mlima huu yawe makazi ya celebs kama chenge, tid na majaji. Nadhani watarudi nyumbani mapema.
sholwe Member Oct 15, 2010 36 1 Nov 14, 2010 #8 sehemu hiyo inafaa kwa test za leseni, bongo wangeendesha wachache...:hippie: