Dawa ya kuua huyu mdudu

Dawa ya kuua huyu mdudu

Uwepo wa huyo mjusi maana yake ndani kwako kuna wadudu kama nzi, mbu, mende, nge nk maana ndo chakula chake so ili kumuondoa we pulizia dawa ya wadudu kama HIT, hawa wakifa na mjusi anaondoka maana hana msosi tena
 
Mijusi uliyoyaamua kuifuga mwenyewe imeanza kukusumbua .Ikifika hatua ya kukupandia kitandani na kukutambalia wakati upo usingizini utujulishe tukupe dawa
Yaani Evilspirit alizoziweka mwenyewe...zinaanza kumsumbua unamaanisha
 
Fanya usafi vizur waahama wenyewe , kuua ni kuwakatili .
 
Alafu ubaya wa hawa mijusi, ni nyoka.
Nyoka wanakula mijusi,so huwa wanawawinda hawa mijusi
 
Huyo Hana shida ila funika miswaki maana anapenda Sana kulamba miswaki iliyotumika,ila wanasaidia kula wadudu waharibifu.
 
Pana siku tumetibuana vibaya na ubavu wangu naangalia namuona mjusi katulia anatuangalia,nikapiga fire kimoyo moyo Nashangaa mjusi anapotelea kwenye pazia hadi akapotea sikumuona baada ya siku tatu namkuta kafa chini ya kitanda.
Nikagundua ndo chanzo Cha mtibuano wa juzi.
Kama Sio wa kichawi ukipiga fire Hana action yeyeto.
 
Back
Top Bottom