Dawa ya kuua huyu mdudu

Dawa ya kuua huyu mdudu

Asee ndugu yangu waache hao viumbe watimize ecosystem, unankumbusha geto langu Manzese alikuwepo ndani mmoja kila nkitaka kumuua roho inasita, siku moja nashtuka usiku wa manane namkuta kambana N'ge mkubwa mdomoni kisawasawa na alimla mpaka kammaliza.
Nikawaza ingekuwaje yule N'ge angekuja nlipolala godoro nmetandika chini sina kitanda sina net
Hata mimi nilitaka kumshauri hili,hao wanakula ng'e na wadudu wengine wasumbufu awaache wanamsaidia sana bila yeye kujua
 
Hizo zinaitwa kamera za wachawi kila unachofanya ndani wanaona
Baada ya kuelezewa hivyo na kuambiwa dawa yake nilijaribu dawa niliambiwa kama nikitia hiyo dawa wakiondoka nijue ni wakichawi kweli waliondoka mpaka leo sipendi mijusi

Naishi msela kwa hiyo ndani kwangu walikuwa huru sana
kukaa na kuona wajusi watano wapo maukutani wamerelax ilikuwa ni kawaida sana
Nikiondoka kurudi usiku kwa hivyo walikuwa huru
Dawa niliyotumia niliambiwa nichukue majani ya kisamvu niweke katika pembe za chumba hata mawili mawili kila kona
Alafu nichukue mbegu za kitunguu saumu nizitumie kusugulia sehemu mbalimbali ambapo huwa nawaona
Unatumia zile mbegu kuchorea maeneo wanayokaa
Baada ya kufanya hivyo kesho yake tu sikuona hata mjukuu wao nilishangaa sana
 
Tafadhali anayejua dawa nzuri ya kuua hawa wadudu anisaidie. Wapo wengi juu ya siringbodi. Usiku wanawikaView attachment 2682087
WW ni mtu salama ndio maana wapo hapo kwako kwani wanakuwa salama. Usiwaue tafadhali. NB: Hawana madhara yoyote kwako au mali yako. Cha muhimu ni kufunika maji yako ya kunywa wasijedondokea humo au kufia humo. Ikitokea amedondokea humo na kufia humo usinywe/usitumie hayo maji utataapika (Vomit) sana ila hautakufa.
Sauti zao za "mguno" usiku zisikupe shida ni wanaitana ili kujamiiana.
Wanafaida ya kula wadudu wasumbufu kwako e.g, mbu, mende, vipepeo waharibifu wa nafaka, n'ge, buibui wa ukutani na kumbikumbi (Mchwa).
 
Wadudu Wote Iwe Inzi, Mende, Papasi, Chawa, Kunguni, Popo
uko sahihi kabisa hiyo dawa imekuwa kimbilio la watu wanaosumbuliwa na wadudu hususan Mungu ni.ingawa imeanza kupotea sokoni sahivi
 
uko sahihi kabisa hiyo dawa imekuwa kimbilio la watu wanaosumbuliwa na wadudu hususan Mungu ni.ingawa imeanza kupotea sokoni sahivi
Inatengezwa Uganda Japo Naikubali Sana Sana
 
Hizo zinaitwa kamera za wachawi kila unachofanya ndani wanaona
Baada ya kuelezewa hivyo na kuambiwa dawa yake nilijaribu dawa niliambiwa kama nikitia hiyo dawa wakiondoka nijue ni wakichawi kweli waliondoka mpaka leo sipendi mijusi

Naishi msela kwa hiyo ndani kwangu walikuwa huru sana
kukaa na kuona wajusi watano wapo maukutani wamerelax ilikuwa ni kawaida sana
Nikiondoka kurudi usiku kwa hivyo walikuwa huru
Dawa niliyotumia niliambiwa nichukue majani ya kisamvu niweke katika pembe za chumba hata mawili mawili kila kona
Alafu nichukue mbegu za kitunguu saumu nizitumie kusugulia sehemu mbalimbali ambapo huwa nawaona
Unatumia zile mbegu kuchorea maeneo wanayokaa
Baada ya kufanya hivyo kesho yake tu sikuona hata mjukuu wao nilishangaa sana
Asante kwa Elimu, kweli dunia kuimaliza haiwezekani.
 
Kiboko yao ni nyoka, chagua uishi nao wakusaidie kula mbu, inzi, buibui, tandabui, mende na wadudu wengine wasumbufu kama kunguni, chawa, viroboto na wengine wengi wa aina hii wakiwemo manyigu, madondora na jamii zao au uchague kuishi na nyoka ili wakusaidie kula mijusi na panya na waiogope kuingia nyumba yako waione ni kituo cha polisi na gereza. Usiwachukulie poa mijusi wanalinda nyumba yako isiwe na wadudu hatari wengine wakiwepo inge. Pia huvutia nyoka ambao ni kitisho zaidi kwako. Kuwaua ni shughuli pevu wataingia wengine aina kama nne hivi za mijusi
 
Back
Top Bottom