Dawa ya kuondoa msongamano Dar...

Kwa maoni yangu mimi ni train ziwe kila upande wa dar es salaam..

Na then serikali iongeze bei ya ku park gari mjini mfano sh 5000 kwa saa na iwe strict kweli kweli uone watu wangapi wataenda na magari binafsi mjini....
MKATA KIU unayosema ni sahihi ila yanastahili investment nyingine ambayo serikali inatakiwa kuwekeza. Ili kuwawekea watu wenye magari mazingira magumu ya kuingia mjini na magari, unapaswa uhakikishe kwamba usafiri wa public una hadhi ya kumfanya mtu avae suti yake na kuutumia. Sasa sina uhakika kama hili limefanyika, vinginevyo itakuwa ni kama kumlazimisha punda anywe maji wakati hujampa majani ii apate kiu
 
Na siku ukitaka bidhaa zote hizo kwa siku moja, utazururaje?
 
Hao wa feli usiwaguse, kama unafahamu mambo ya uvuvi ,washikaji wanakesha usiku kucha baharini wanavua samaki,alfajiri wako sokoni wanauza samaki wao sasa wateja wao wakianza kuwasili karibuya mchana itakuwa majanga,saa ngapi watamaliza,watapumzika saa ngapi na saa ngapi watajiandaa kwa uvuvi-inshort uvuvi ni mojawapo ya kazi dume kuliko unavyofikiri by saa kumi jioni hawa watu wanatakiwa wawe baharini-kurudi kesho asubuhi.
 
sio Msasani mi naona Kawe au Kunduchi kabisa
au lihamie Kigamboni jirani na daraja jipya
ni aibu mno kuweka shombo loote lile Ikulu pale
na daladala zinapita huku watu wamebanana hadi mlangoni..
asante kwa kunikumbusha hili...

Mkuu ile shombo pale magogoni ni aibu kubwa sana kwa watalii na hata wenyeji, mimi ningependa kugusia misafara ya mkuu pindi akiingia na kutoka magogoni ni tatizo lingine kwa watu wanao tumia barabara ile esp kwa nyakati za jioni.. mimi ningeshauri kama kunauwezekano wakufanya project ya kutengeneza flying-over japo kwa baadhi ya maeneno ya posta na barabara zinazoingia city center ingesaidia.. kwa mfano hapo nairobi wamejitahidi kwenye hili..
 


Source: Dar Master Plan-2012-2032-kwa msaada wa post ya EMT ndani ya uzi huu.
The Boss, wazo lako ulilolitoa kwenye post 1 ya uzi huu...linaweza kutekelezeka kwa ufanisi endapo...mfumo wa barabara ulioonyeshwa kwenye ramani hapo juu utakuwa umejengwa vizuri na kukamilika.

Kwa mazingira ya Sasa ...wazo lako hilo litakuwa gumu kutekelezeka.

Mengi yameishaelezwa na wanajamvi...ila kwa nyongeza....ni kudhibiti misafara ya viongozi ambao ulazimisha kufungwa baadhi ya barabara ili waheshimiwa hao wapite.

Udhibiti huo unaweza kuwa wakutoa taarifa mapema mahali gani viongozi hao watapita...ili kama kuna mtu ana gari lake asipite maeneo hayo au abadili ratiba kabisa....na kama ki-usalama haiwezekekani kutoa taarifa mapema basi...viongozi hao...watumie usafiri wa Helkopta (wengine mnaita Chopa), au hata boti ndogo mahala panapowezekana...mfano kutumia boti kutoka feli kwenda Bagamoyo.

Nina imani wanahesabu wakilinganisha gharama za matumizi ya helkopta kwa viongozi wafunga barabara na gharama wanayosababisha kwa kuzuia watu barabari kwa zaidi ya masaa mawili....sina shaka..helkopta itakuwa nafuu sana.

Hoja yangu hapa imelenga kwenye msogamano wa magari barabarani.
 
Last edited by a moderator:

Dawa ni moja tu serikari wahamie Dodoma Hakika msongamano utakwisha
 
Siku wakihamia Dodoma wote na magari Yao binafsi foleni itakwisha Dsm
 
Hakuna njia sahihi ya kuondoa kero ya foleni Dsm zaidi ya kuhamia Dodoma siku ukitokea muujiza Wakahamia Dodoma hakika msongamano utakwisha
 
Last edited by a moderator:
Mabinti wa siku hz wanapenda kumiliki magari kwa njia yeyote ile na ni chanzo mojawapo cha msongamano wa magari huku miundo mbinu ikiwa haimudu msongamano huo dawa ya yote Haya ni Serikari kuhamia Dodoma na magari Yao yote na magari Yao binafsi Pia msongamano utakwisha
 
Kuna computerizing modelling systems za forecasting nini kifanyike... Lakini hatuzitumii
 
ndugu wazo si baya, linalenga kutatua, lakini swala nalo liona mimi ni kuhusu mfumo wa nchi una katisha tamaa , siwezi miaka yote ni kauza simu naweza badili biashara sasa serikali itanihamisha na kama ujuavyo itakuwa mbinde na umaskini ndipo utakapoanza, mimi sasa hivi ndani ya miaka 7, nimebadili biashara za aina 5 kazi yangu ni kuangalia fursa iko wapi . nafikiri maofisi ya serikali yahame kwanza yaende dodoma nalo hilo litapunguza msongamano .
 
soko huria na mkopo wa bank utalipa saa ngapi ? naona serikali hasa uchaguzi ujao wa raisi na wabunge waje na suluhisho la tatizo , mimi najua mipango wanayo ila inatakiwa wapate waziri na chama sikivu kama CDM kinachopenda kusikliza na kufanya tafiti za kubaini matatizo siyo CCM wanaopenda kuoneana huruma na kulindana
 

msasani kuna soko la samaki miaka mingi sana..........
 
Dawa na Tiba pekee ya yote Haya ni kuhamia Dodoma tu wala si vinginevyo .
 
Siku ikitokea miujiza Wakuu wa Nchi wakahamia Dodoma na magari yote yakiwemo Yao Binafsi msongamano na foleni vitakwisha .
 
The Boss Nitatofautiana na wewe kidogo pasi na kukubaliana na wewe pia........hii specialization ya business simu ziwe Pugu spea ziwe Tegeta inaweza isiwe tunu kwa kuwa watu bado watatoka Tegeta kwenga kununua simu Pugu....why not build other 6 Kariakoos huko Mbagala, Pugu, Kibamba, Tegeta,Kigamboni na hata Bunju? Tangu uhuru tumejenga Kariakoo moja tu Mwaka 1975....hata ukiangalia madaladala yetu 80% yanaishia Kariakoo...walileta wazo la kisiasa la PILOT TOWNS za Kibamba na Bunju sijui lilishia wapi
 
Na siku ukitaka bidhaa zote hizo kwa siku moja, utazururaje?

Coz kunakuwa hamna foleni inakuwa haina shidaq
..sshivi unataka bidhaa zote zipo kko,bt hyo foleni paka ukaikute kko ni balaa,bado foleni ya kurudi,...hayo muda,na petrol(kwa wenye magari)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…