Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,257
Kupunguza foleni Mandela hadi Mbezi malori yatoke bandarini kuanzia saa nne usiku
... Ahsante kwa wazo mkuu. Hii kitu haihitaji hela yoyote, ni maamuzi tu. I wish I could tag Mwakyembe in here. Kwa kweli msongamano mkubwa sana unasababishwa na malori barabara ile. Na kibaya zaidi huwezi ukatoka Buguruni mpaka Ubungo Mataa bila kukutana na lori lililo chomekwa-chomekwa matawi ya miti baada ya kuharibika kwa ku-jackknife, kuchomoka tairi, tanki la mafuta kulegea au container kudondoka!!