The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
- Eneo la Kariakoo liwe na bidhaa moja tu ya biashara, mfano bidhaa za nguo.
- Maduka ya simu na vifaa vya simu yahamishwe, mfano Pugu.
- Maduka ya vifaa vya ujenzi yote yahamie mfano Tegeta.
- Vipodozi yote yaende mwenge.
- Vifaa vya kilimo Tandika. Posta yoote kusiwe na maduka zaidi ya maofisi na maduka ya nguo tu.
maduka ya furniture yote yaende Keko..
Tukiweza hili misongamano na foleni zitakwisha Dar. Tuige nchi zingine basi, ingawa Madiwani na mameya wote waliopo ni mizigo.
- Maduka ya simu na vifaa vya simu yahamishwe, mfano Pugu.
- Maduka ya vifaa vya ujenzi yote yahamie mfano Tegeta.
- Vipodozi yote yaende mwenge.
- Vifaa vya kilimo Tandika. Posta yoote kusiwe na maduka zaidi ya maofisi na maduka ya nguo tu.
maduka ya furniture yote yaende Keko..
Tukiweza hili misongamano na foleni zitakwisha Dar. Tuige nchi zingine basi, ingawa Madiwani na mameya wote waliopo ni mizigo.