Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

Nikiona nimezidisha mzigo tu nagonga maji ya baridi nikienda kulala alafu asubuhi nagonga tikiti la bariiiiidiiiii hapo nakua mpya,ila binafsi fanta orange inanibeba pia.
 

Na. 2 sahihi kabisa
 
1.kachumbari yenye pilipili nyingi na malimao.
2. coca ya chupa bariiid xana.
3. canabis sativa
4. hard/rough shot sex
5. kuzunguka uwanja
6. ndizi mbivu kabla hata ya mswaki
 
Mkuu hangover sidhani kama ina dawa...utanisahihisha kama sipo sahihi

Kila nlichoambiwa kimedunda nimegundua miili haifanani na kila mtu anatumia alcohol yake kwa kiasi chake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…