Quastion mark
Member
- Oct 18, 2012
- 48
- 4
Jaman kama kuna m2 anafahamu dawa ya kunenepesha, naomba aniagzie,.
sio mwembamba kivile!.ila nataman tuu kuwa mnene.Kunenepesha sehemu gani
aweke juhudi hapokitimoto tuu
sijui,ila we mwembamba kiasi gani mpaka utumie dawa?
si ule tu misosi ya nguvu
Kunenepesha what.
Ataka kunenepesha Banzi .
Wee mtu mzima mwenzangu samtaiymz vijiswali kama hivi tujiongeze.
Kunenepesha what.