Dawa ya kumvuta mpenzi wako aliyekuacha, ili arudi

Chililo

Senior Member
Mar 22, 2013
150
114
Wadau hamjambo!!

Nauliza, hivi kuna dawa ya kuweza kumvuta mpenzi wako, ambaye ameamua kukuacha. Yaani mpenzi wako kakuacha na kuamua kukublock ili msiwasiliane huku akijiapiza mbele ya rafiki zake kuwa haitokaa arudiane na wewe. Kuna rafiki yangu imemtokea hii.

Hivyo mpaka sasa anasononeka kwa mawazo. Mwenye ufahamu juu ya hili. Karibu tuyajenge!!
 
Wadau hamjambo!!

Nauliza, hivi kuna dawa ya kuweza kumvuta mpenzi wako, ambaye ameamua kukuacha. Yaani mpenzi wako kakuacha na kkuamua kukublock ili musiwasiliane huku akijiapiza mbele ya rafiki zake kuwa haitokaa arudiane na wewe. Kuna rafiki yangu imemtokea hii. Hivyo mpaka sasa anasononeka kwa mawazo. Mwenye ufahamu juu ya hili. Karibu tuyajenge!!
Mwambie aachane naye, atafute mwingine
 
Wadau hamjambo!!

Nauliza, hivi kuna dawa ya kuweza kumvuta mpenzi wako, ambaye ameamua kukuacha. Yaani mpenzi wako kakuacha na kkuamua kukublock ili musiwasiliane huku akijiapiza mbele ya rafiki zake kuwa haitokaa arudiane na wewe. Kuna rafiki yangu imemtokea hii. Hivyo mpaka sasa anasononeka kwa mawazo. Mwenye ufahamu juu ya hili. Karibu tuyajenge!!

Dawa ni kushika hamsini zako......na kuendelea na maisha......samaki wengi hivyo baharini unagandana na mmoja tu.........acha hizo wewe.......
 
Jaribu kuwa unakubali matokeo tatizo la WANAUME ukipigwa kibuti unatumia sana ila tu naona kuwapiga vibuti mademu ni sawa
 
Dah kweli tunatofautianaa mmi mwenzako natafuta jinsi ya kuachana na huyu dem nlie nae,, nakosa hata namna ya kumuacha namawazo ntamuachajeee pasipo. kumletea mawazoo
 
Dah kweli tunatofautianaa
mmi mwenzako natafuta jinsi ya kuachana na huyu dem nlie nae,, nakosa hata namna ya kumuacha namawazo ntamuachajeee pasipo. kumletea mawazoo
Kakukosea nini hadi unataka kumuacha
 
Dah kweli tunatofautianaa
mmi mwenzako natafuta jinsi ya kuachana na huyu dem nlie nae,, nakosa hata namna ya kumuacha namawazo ntamuachajeee pasipo. kumletea mawazoo
Nipigie pande aisee mie atanifaa
 
Dawa zipo mkuu! Zina nguvu Sana, huyo aliyekuacha anaweza kukufata hata Kama umeenda Kenya, ila ndo hazikai muda mrefu, baada ya miezi inaisha nguvu, Na balaa linabaki palepale, labda Kama kuna kazi hukumaliza kwenye mwili wa mpenzi wako so unataka umalize then usepe! Ila dawa hizi zinatesa Sana ukamfanyia mtu, hafu akaanza kukutafuta (lazima akutafute mwenyewe) then ukawa hutaki hata kuonana naye, unaweza kuvunja ndoa ya Mtu!
 
Mi nakusaidia but uje ulete mrejesho hapa thawa!!!! Fanya hivi mpotezee afu tongoza mademu wengine watano hapa namaanisha watoto classic pindi utakapo anza tu kula bata na mmoja wapo kati ya hao watano aoutomatic alokutosa anakujaga mwenyewee that is the principle ... Jaribu ujionee maajabuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom