Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
CCM ni mfumo. Na ili kuuangusha mfumo wowote, lazima uufahamu.
Pamoja na ufisadi na rushwa vinavyoabudiwa na CCM, mfumo wao wameujenga katika kupumbaza watu wa vijijini hasa wasio na elimu.
Wengi wa maharamia wa CCM wanaishi mijini ambako watu wengi 'zimo'. Ni katika maeneo ya mijini tu ambako raia wanaweza kuona namna CCM kilivyo uchi na wakakifanyia kitu chochote wanachotaka, kama walivyokivua nguo mwaka huu katika miji ya Mwanza, Musoma, Arusha, Moshi, Mbeya, Iringa, Tarime, Mpanda, na kwingineko.
Safari ni ndefu na ngumu. Ninavishauri vyama vya upinzani kushirikiana katika kuwamaliza hawa mafisadi wa CCM hasa maeneo ya mijini. Halmashauri zote za mijini ziwe chini ya upinzani baada ya uchaguzi mwaka 2015.
Kama kuna mahali CUF wanakubalika, vyama vingine viunge mkono, kama kuna mahali Chadema kinakubalika, vyama vingine viunge mkono na iwe hivyo hivyo kila mahali.
Tukifanikiwa 'kuwafukuza mijini', basi itakuwa ni rahisi kuwaeleza watu wa vijijini waache 'ujuha' wa kupewa fulana za kichina na kugawa kura kwa CCM huku wakiendelea kulia na umasikini wao.
Kata ninayoishi tumepata diwani wa Chadema bila kuwa hata na matawi, tukipata matawi je?
Nawasilisha.
Pamoja na ufisadi na rushwa vinavyoabudiwa na CCM, mfumo wao wameujenga katika kupumbaza watu wa vijijini hasa wasio na elimu.
Wengi wa maharamia wa CCM wanaishi mijini ambako watu wengi 'zimo'. Ni katika maeneo ya mijini tu ambako raia wanaweza kuona namna CCM kilivyo uchi na wakakifanyia kitu chochote wanachotaka, kama walivyokivua nguo mwaka huu katika miji ya Mwanza, Musoma, Arusha, Moshi, Mbeya, Iringa, Tarime, Mpanda, na kwingineko.
Safari ni ndefu na ngumu. Ninavishauri vyama vya upinzani kushirikiana katika kuwamaliza hawa mafisadi wa CCM hasa maeneo ya mijini. Halmashauri zote za mijini ziwe chini ya upinzani baada ya uchaguzi mwaka 2015.
Kama kuna mahali CUF wanakubalika, vyama vingine viunge mkono, kama kuna mahali Chadema kinakubalika, vyama vingine viunge mkono na iwe hivyo hivyo kila mahali.
Tukifanikiwa 'kuwafukuza mijini', basi itakuwa ni rahisi kuwaeleza watu wa vijijini waache 'ujuha' wa kupewa fulana za kichina na kugawa kura kwa CCM huku wakiendelea kulia na umasikini wao.
Kata ninayoishi tumepata diwani wa Chadema bila kuwa hata na matawi, tukipata matawi je?
Nawasilisha.