dawa ya boko haram imeishapatikana leo!!

dawa ya boko haram imeishapatikana leo!!

hao jamaa ni hatari sana sio binadamu wa kawaida makomandoo wa tatu tu walitosha kuwaokoa raia kibao waliotekwa na iddi amini uganda raia hao walikua ndani ya kambi ya jeshi la uganda ndani ya dakika tano tu raia hao waisraeli wakipandishwa helkopta na kusafirishwa

porojo!
 
hao jamaa ni hatari sana sio binadamu wa kawaida makomandoo wa tatu tu walitosha kuwaokoa raia kibao waliotekwa na iddi amini uganda raia hao walikua ndani ya kambi ya jeshi la uganda ndani ya dakika tano tu raia hao waisraeli wakipandishwa helkopta na kusafirishwa
mkuu operation thundebolt ilichukua dakika 90 yaani saa moja na nusu.mateka walikua wanashikiliwa hapohapo uwanja wa ndege entebbe ambao uko isolated kwahiyo haikua vigumu kwa wayahudi kutua hapo kwa ndege na kustorm jengo lilokua na mateka.

Katika operation hiyo ndugu yake na benjamini netanyau alieitwa Yonathan Netanyau ambae ndo alikua kiongozi wa msafara wa makomando wa israel aliuawa.
 
Wacha uongo hulijui usemalo.....kambi ipi ya wanajeshi?....hiyo ilikuwa uwanja wa ndege upande wa pili mbovu ....fyuu!....mnachosha na hadithi za vijiweni....wakati mwingine faham kuwa wanaJF sio watoto wadogo..damn!
mkuu wavumilie tu wataenda wanajifunza polepole,hawa watoto wa enzi za jakaya bana,eti makomando watatu,mh
 
Nimegundua wakristo wengi sana zaidi ya asimia 97 are so ignorant about israel.katika wachache waliobaki chini ya asilimia tatu ni pamoja na julius nyerere.rais wa 1 wa tanzania.na ndio maana hata uhusiano wetu na israel ni wa kutafuta.


wewe kweli hujui kinachoendelea duniani!!! Nani kakudanganya kuwa israel imewashindwa hamas, ni miaka sasa hamas wameufyata mkia na israel inaendelea kujenga makazi ya wayahudi bila kusikiliza un au human rights watch wanasemaje. Kumbuka hamas ikiua myahudi mmoja, israel inaua wapalestina wengi bila kujali mzee au mtoto. Ailaanie israel amelaaniwa, na aibarikie amebarikiwa. Usicheze na taifa teule la mungu.
 
Baada ya taifa la Israeli kutangaza kuwa litaisaidia Nigeria kuokoa Boko Haram-basi huo umeisha kuwa mwisho wa boko haram. Tazama mwenyewe waisrael walipoingia Kenya kuwanyamazisha wauaji wa water gate walipokuwa bado wanapiga risasi golofa ya pili. ni masaa manne 5u walitumia kukomesha kiburi chao!

halafu Israel ndio iliyoisambaratisha the Black september mwaka 1972. baada ya black septrember kuwauwa wanamischezo wa Israeli katika munich Olyimpic , Israel ililipa kisasi kwa kwasaka kiongozi wao mmoja mmoja mpaka wakamuuwa wa mwisho Abu nidal mwaka 1986 mjini tunisia kwa risasi mia nane mwilini huku mkewe na watoto wake wakiangalia live na video ilikuwa inachukuliwa pole polepole. Mkewe abu nidal hana akili nzuri mpaka leo, yuko kama vile punguani baada ya kushuhudia mauaji ya mmewe.

Leo hii wajuu wa Abraham(waisraeli) wanaingia Lagos mpaka huko Beno kuhakikisha Boko haram hana tena maisha marefu. wewe chunguza msako utakavyo wakamata viongozi walioshuriki kuipa kichwa Boko haram.


IN ADDITION:
Hiyo maiti ya bwana Abu Nidal haikujaa hata kwenye ganda la kiberiti!!
 
Back
Top Bottom