Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Huyo Kashakwama teyari na huyo dada ye2 anajivutia midollar tuKwa nyongeza, kuna bosi wangu mmarekani kabisa amekolea nyumba ndogo ya kiswahili ni balaa hapa ofisini hatumuelewi hata utendaji wake wa kazi umepungua.Tunamuombea tu asije akadhurika na hayo madawa kiafya.