Davis Mosha kugombea Ubunge jimbo la Moshi Mjini?

Davis Mosha kugombea Ubunge jimbo la Moshi Mjini?

Anatafuta kugombana na wachagga wenzake kina ndesa pesa huyu chalii kwa kibororonyi,atakula jeuri yake babaangu,downtown moshi ni pasua kichwa !
 
Halafu huu uzi naona kama umewavuta kidogo watu wa moshi ndugu zanguni tufanyeni maamuzi sahihi mji wetu ubadilike kidogo na kuwe na fursa sio watu wanaenda kutafuta mbali halafu mwisho wa mwaka ndo foleni zinajaa pale Meku's Bistro na Uhuru park

Hivi We Mzima Kweli Kwa Hiyo Folen Kwako Ndo Maendeleo Ccm Hili Jimbo Sahauni Na Kama Ni Nguvu Ya Pesa Kwa Ndesa Ndo Kwao Chopa Ziko Sita Sasa Bado Mkimuuzi Ataakiza Hata B 52 Ije Ipige Tu Kampen Sio Mabomu
 
Hivi We Mzima Kweli Kwa Hiyo Folen Kwako Ndo Maendeleo Ccm Hili Jimbo Sahauni Na Kama Ni Nguvu Ya Pesa Kwa Ndesa Ndo Kwao Chopa Ziko Sita Sasa Bado Mkimuuzi Ataakiza Hata B 52 Ije Ipige Tu Kampen Sio Mabomu
so nyinyi wamarangu mkiona chopa tu then mnampigia kura ya ndiyo aliyezileta sio?
hapo tuna kazi ndefu sana,sasa si bora mngehongwa kitimoto na bia ieleweke.
 
Mleta mada anatuzeveza tu anamjua fika huyo mosha. Anataka ajue mtazamo wa wadau humu kwa sababu azijuazo yeye.

Lile jimbo kuna matajiri kama wa 4 maarufu wanalimezea mate kutokea 2005.
 
[/QUOTE]

Mkuu umemaliza mawenzi mwaka gani,
Mi nimemaliza 1995 na kina irene nkya,.
Kiufupi hatumpi mtu jimbo ambaye haishi moshi,
Anatafuta umaarufu kupitia kura zetu.
Alete pesa tule, tule ukawa.
 
Davis Mosha si jina ngeni pale Moshi mjini.. Alianza hustles zake pale stand ya Moshi back then. Watoto wote wa mjini moshi (enzi hizo) wanamjua sana, kampani yake ilikuwa akina Bob Sambeke, watoto wa Mawalla wale wanamiliki Mr. Price, La Liga Club na biashara zingine hapo mjini, Patrick Ngiloi wa Panone.. Ila habari mbaya kwake ni kwamba pale chimbuko lake (Stand ya Moshi) ambako ndio vijana wengi wafanyabiashara mishe zao zinaanziaga hapo wote ni wafuasi wa CDM damu..

Mwezi February nilikuwa Moshi nikashangaa kumwona Davis akipiga Road Tour (akiwa anatembea kwa miguu) hapo mjini, nikajua kaja kusalimia tu machalii wake, kumbe lengo lake lilikuwa ndio hili hapa. Hapo kachemsha, Moshi mjini hana wa kumdanganya, angeenda tu kupambana kule kwao Moshi vijijini
 
Davis Mosha si jina ngeni pale Moshi mjini.. Alianza hustles zake pale stand ya Moshi back then. Watoto wote wa mjini moshi (enzi hizo) wanamjua sana, kampani yake ilikuwa akina Bob Sambeke, watoto wa Mawalla wale wanamiliki Mr. Price, La Liga Club na biashara zingine hapo mjini, Patrick Ngiloi wa Panone.. Ila habari mbaya kwake ni kwamba pale chimbuko lake (Stand ya Moshi) ambako ndio vijana wengi wafanyabiashara mishe zao zinaanziaga hapo wote ni wafuasi wa CDM damu..

Mwezi February nilikuwa Moshi nikashangaa kumwona Davis akipiga Road Tour (akiwa anatembea kwa miguu) hapo mjini, nikajua kaja kusalimia tu machalii wake, kumbe lengo lake lilikuwa ndio hili hapa. Hapo kachemsha, Moshi mjini hana wa kumdanganya, angeenda tu kupambana kule kwao Moshi vijijini

Hili genge lake ni hatari sn
 
Hili genge lake ni hatari sn

Genge lake mtu mwenye nguvu aliyebaki labda ni Panone.. Nae nilisikia anataka kujenga uwanja wa mpira wa kisasa pale Njia panda ya Machame, ameshapanunua. Hiyo ni karata yake ya kupambana na Mbowe Hai, sijui kama bado ana hilo wazo la Ubunge na yeye
 
Huyo jamaa amwambie @ W. J. Malecela aka Lemutuz ampeleke kule kwa Mtera! Moshi watu hawaangalii ubilionea wa mtu hakuna mwenye njaa kule halafu hadi wauza nyanya wanajitambua.
 
Huyo jamaa hana tofauti kubwa sana na mzee wa manvi, utajiri wake mkubwa unaacha maswali mengi yanayokosa majibu.

Inasemekana kuwa ana 'connection' kubwa na Prince Riz-One.

Inawezekana pia anajitumbukiza kwenye kinyang'anyiro hicho cha ubunge, akiamini kuwa mabilioni yake ndiyo 'yataununua' ubunge wake wa Moshi mjini.
attachment.php
 
Huyo jamaa hana tofauti kubwa sana na mzee wa manvi, utajiri wake mkubwa unaacha maswali mengi yanayokosa majibu.

Inasemekana kuwa ana 'connection' kubwa na Prince Riz-One.

Inawezekana pia anajitumbukiza kwenye kinyang'anyiro hicho cha ubunge, akiamini kuwa mabilioni yake ndiyo 'yataununua' ubunge wake wa Moshi mjini.

Una uhakika juu ya hili au ni akili za kimaskini ndo zinakuongoza kutamka hivyo? Huyu na mfanyabiashara unamfananishaje na mamvi wakati hajawahi kujihusisha na siasa ukasema amaewaibia.Huyo jamaa ni mpiganaji.Akili kama zako ndo zinafanya vijana wengi wanakuwa maskini. Angekuwa anagombea kupitia ukawa usingeongea hayo mashudu yako
 
Nilisikia huyu kijana ni form for leaver lakini sipendi ya kusikikia the problem about Africa 'we have rich men that don't think like rich men' this makes me wonder a good example ni huyu jamaa Mosha what's his history
 
Huyo mdau hana tofauti na Mafisadi wengine wa CCM inshort ni vijana waliotajirika kupitia kupiga dili za mafisadi na yeye kuwa fisadi anaejua michongo kibao.Kama ulivyoambiwa anaconnection na Prince Riz1.Pia ukitaka kujua kwamba utajiri wake si wa halali evn Forbes hawamjui kama wakina Richard Ngowi,Mohamed Enterprise,Mengi etc.
Huyo hana tofauti kubwa na Manji ni wezi tu.
Hapo Moshi watu wanauelewa mkubwa sio kama wazalamo.huko.watu hawadananywi.na kofia tshirt and khanga.Angalia Rombo ,Mr.Mramba na uwaziri wake wote wa Fedha na undugu wa Mkapa watu walimmwaga kawaida kule hatuangalii sura wa pesa.
Mwambie ashindwe na alegee.
 
Habari za JF....Binafsi nimekulia na kusomea moshi town mawenzi primary na mawenzi sekondari japo Advance na Chuo vilinipeleka mbali kidogo na moshi ila sio sababu ya mimi kupasahau nyumbani kwa kiasi kikubwa nawafahamu watu maarufu wote na wenye ushawishi moshi ila hili jina la DAVIS MOSHA limekua geni kidogo kwangu naombeni mnifahamishe mawili matatu juu ya hizi fununu za jamaa kuja kugombea katika manispaa yangu ya moshi hususani kiutendaji na uwezo wake wa kisiasa bila kusahau upepo wa kisiasa uliopo katika jimbo la Moshi anaweza kua na nafasi huyu? N.B. Mimi si mkereketwa wa chama chochote cha siasa naomba tu kumfahamu mgombea na nafasi yake AHSANTENI

Matapeli nao wanataka ubunge
 
kakutuma uje ujaribu upepo apa mwambie tunamjua ni mwizi na anaiba na mtoto wa mkuu, pia alikuwa kwenye mtandao wa kina MAWALA na Babu Sambeke Na Hawa Ni Watapeli Maarufu Afrika Mashariki Ila Mungu Kawapenda Zaidi

Mawala huyu Marehemu aliyawapa Chadema kiwanja Arusha ambacho Lema akajibanafsisha au Mawala yupi mkuu??
 
Huyo jamaa hana tofauti kubwa sana na mzee wa manvi, utajiri wake mkubwa unaacha maswali mengi yanayokosa majibu.

Inasemekana kuwa ana 'connection' kubwa na Prince Riz-One.

Inawezekana pia anajitumbukiza kwenye kinyang'anyiro hicho cha ubunge, akiamini kuwa mabilioni yake ndiyo 'yataununua' ubunge wake wa Moshi mjini.

Hawa matajiri wa kibongo mbona rekodi za TRA haziwatambui? Alafu eti MTU ni tajiri hawezi hata kulipa "consultancy fees,wabongo tuko nyuma ya dunia ya leo miaka 200
 
Davids Mosha kapata pesa mara tuu kikwete alipoingia madarakani,wanakaa jirani na Ridhwan pale mikocheni.In short anaangalia mali za mtoto wa kaya kaona bosi wake kawa mbunge chalinze nae anataka ubunge
 
Back
Top Bottom