Davis Mosha kugombea Ubunge jimbo la Moshi Mjini?

Davis Mosha kugombea Ubunge jimbo la Moshi Mjini?

Black Book

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
228
Reaction score
209
Habari za JF,
Binafsi nimekulia na kusomea Moshi town Mawenzi primary na Mawenzi sekondari japo Advance na Chuo vilinipeleka mbali kidogo na Moshi ila sio sababu ya mimi kupasahau nyumbani kwa kiasi kikubwa, nawafahamu watu maarufu wote na wenye ushawishi Moshi ila hili jina la DAVIS MOSHA limekua geni kidogo kwangu naombeni mnifahamishe mawili matatu juu ya hizi fununu za jamaa kuja kugombea katika manispaa yangu ya Moshi hususani kiutendaji na uwezo wake wa kisiasa bila kusahau upepo wa kisiasa uliopo katika jimbo la Moshi anaweza kuwa na nafasi huyu?
N.B. Mimi si mkereketwa wa chama chochote cha siasa naomba tu kumfahamu mgombea na nafasi yake

AHSANTENI
 

Attachments

  • (lemutuz_nation)11326549_699586270145278_846261884_n.jpg
    (lemutuz_nation)11326549_699586270145278_846261884_n.jpg
    24.9 KB · Views: 2,629
Huyo jamaa hana tofauti kubwa sana na mzee wa manvi, utajiri wake mkubwa unaacha maswali mengi yanayokosa majibu.

Inasemekana kuwa ana 'connection' kubwa na Prince Riz-One.

Inawezekana pia anajitumbukiza kwenye kinyang'anyiro hicho cha ubunge, akiamini kuwa mabilioni yake ndiyo 'yataununua' ubunge wake wa Moshi mjini.
 
Huyu ni mjanjamjanja flani aliyeingia kutafuta jina club ya yanga akawa hajafanikiwa,nadhani sasa anajaribu siasa
 
Huyo jamaa hana tofauti kubwa sana na mzee wa manvi, utajiri wake mkubwa unaacha maswali mengi yanayokosa majibu.

Inasemekana kuwa ana 'connection' kubwa na Prince Riz-One.

Inawezekana pia anajitumbukiza kwenye kinyang'anyiro hicho cha ubunge, akiamini kuwa mabilioni yake ndiyo 'yataununua' ubunge wake wa Moshi mjini.
Khaaa!!...kumbe asante mkuu japo umenipatia tetesi nyingine nyingi zaidi
 
Tajiri wake lemutuz le supa bilionea
 
Huyu ni mjanjamjanja flani aliyeingia kutafuta jina club ya yanga akawa hajafanikiwa,nadhani sasa anajaribu siasa
Kama si mweledi ajipange moshi sio parahisi asante sana mkuu Dallailama
 
Last edited by a moderator:
Hizi habari umezitoa kwa le mutuz page yake ya Insta
 
kakutuma uje ujaribu upepo apa mwambie tunamjua ni mwizi na anaiba na mtoto wa mkuu, pia alikuwa kwenye mtandao wa kina MAWALA na Babu Sambeke Na Hawa Ni Watapeli Maarufu Afrika Mashariki Ila Mungu Kawapenda Zaidi
 
kakutuma uje ujaribu upepo apa mwambie tunamjua ni mwizi na anaiba na mtoto wa mkuu, pia alikuwa kwenye mtandao wa kina MAWALA na Babu Sambeke Na Hawa Ni Watapeli Maarufu Afrika Mashariki Ila Mungu Kawapenda Zaidi
Mkuu hijja hakuna mwanasiasa wa kunituma mtu kama mimi kabisa kusoma na kuandika tu ni kwa shida ije kazi ngumu kama kurudisha feedback juu ya maoni ya wananchi??
 
Last edited by a moderator:
Pia hiv majuz boisaf alikuwa hapa mtaan na akadai anautaka ubunge kupitia ccm, no mtendaj mzur ila sidhani kama ccm watampitisha
 
ni jamaa mmoja mwenye lamborgini.. for more info muulize Le Mutuz ni best yake sana.
 
Pia hiv majuz boisaf alikuwa hapa mtaan na akadai anautaka ubunge kupitia ccm, no mtendaj mzur ila sidhani kama ccm watampitisha

Halafu huu uzi naona kama umewavuta kidogo watu wa moshi ndugu zanguni tufanyeni maamuzi sahihi mji wetu ubadilike kidogo na kuwe na fursa sio watu wanaenda kutafuta mbali halafu mwisho wa mwaka ndo foleni zinajaa pale Meku's Bistro na Uhuru park
 
ni jamaa mmoja mwenye lamborgini.. for more info muulize Le Mutuz ni best yake sana.

Asante sana mkuu japo sidhani kama kiongozi bora anapimwa kwa aina ya gari analoendesha ila naheshimu mchango wako kaka
 
kama hawezi kujeng hoja anategemea pesa kuongoza taifa hili lenye wasomi fukuza sio mwaka wa viraza huu pesa apelekee familia yake tunataka viongozi wenye kitu kichwani,
 
Pia hiv majuz boisaf alikuwa hapa mtaan na akadai anautaka ubunge kupitia ccm, no mtendaj mzur ila sidhani kama ccm watampitisha

Boisafi Huyu Aliyewatapeli Vodacom Mabilion Ya Shiling,au? Sikilizeni Moshi Ccm Hata Akigombea Yesu Ukawa Wakaweka Jiwe Litamshinda Ni Jimbo Pekee Tanzania Ambalo Tangu Vyama Vya Upinzani Vianze Ccm Haijawah Shinda Apa!
 
Boisafi Huyu Aliyewatapeli Vodacom Mabilion Ya Shiling,au? Sikilizeni Moshi Ccm Hata Akigombea Yesu Ukawa Wakaweka Jiwe Litamshinda Ni Jimbo Pekee Tanzania Ambalo Tangu Vyama Vya Upinzani Vianze Ccm Haijawah Shinda Apa!

Mkuu Hijja, hii ya Boisafi vs Vodacom imekaaje? Maana huyu bwana kajiweka vizuri sana pale Moshi na akiamua kuingia anaweza kuibuka kumrithi mzee ndesa pesa!
 
Back
Top Bottom