Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,173
- 26,910
Vita vya panzi furaha ya kunguru
So hornet tuambie nani kunguru atakuja kutudonyoa wakati sisi panzi tunapeana jab na right hahahahahh
Vita vya panzi furaha ya kunguru
Hahahaahahah eti mchawi hahahaahahah aise kumbe hata vikao vya gamboshi ni kweli unahudhuriaga hahahahhhah
So hornet tuambie nani kunguru atakuja kutudonyoa wakati sisi panzi tunapeana jab na right hahahahahh
Ndipo akili zenu zinapoishia eti?? Nyie mnavyomchukia na kumtukana King nani aliwatuma??? Khaaaah!! hahahaaaaaaaa nicheke nijilalie mie, hebu endeleza uzalendo huko usiwaite watz wenzio mazezeta au kuna limitation ya uzalendo??!!
​Kiba hahitaji nguvu zote hizi ili ashinde tuzo, yeye alivyo na muziki wake anajitosheleza tatizo ni huyo mdomo mchafu ni kujifanya anajua kumbe ni cry baby tu mtoto wa tandale kwa mfuga mbwa...nyooo.Assume next year Kiba yupo MTV, hatahitaji kura za Team Diamond ? Mi simpenzi wa muziki kihivo, ila naona dalili za kudidimizana.
Kiba Team na Team Diamond bila uzalendo mtakua mna badilishana zamu ya kuumizana wenzenu watawacheka.
Si tulikuwa wote umenisahau??? Kumbukumbu nimegundua ni tatizo kwenu.
Kunguru ni huyooo na panzi ni waleee yaani ile tuzo ikija Tz mmmmh sijui.. Ngoja nilale
Hahahahahahaj mbona tuzo zinakuja tunangoja tu tukio MTU mzima dai apewe sake then mengine yatafuta so
Msiogope sana
Take easy baby ....calm down hahahahahah
Assume next year Kiba yupo MTV, hatahitaji kura za Team Diamond ? Mi simpenzi wa muziki kihivo, ila naona dalili za kudidimizana.
Kiba Team na Team Diamond bila uzalendo mtakua mna badilishana zamu ya kuumizana wenzenu watawacheka.
Njoo jkt hapa kigoma nikupigishe kwata la UZALENDO somo likukae vizuri
By the way lala ila lazima upate nightmare za kutisha sana .juu ya mondi bin laden hahahahah
Zikizidi fungua track mpya ya dai na kcee ukuliwaze.
Assume next year Kiba yupo MTV, hatahitaji kura za Team Diamond ? Mi simpenzi wa muziki kihivo, ila naona dalili za kudidimizana.
Kiba Team na Team Diamond bila uzalendo mtakua mna badilishana zamu ya kuumizana wenzenu watawacheka.
​Kiba hahitaji nguvu zote hizi ili ashinde tuzo, yeye alivyo na muziki wake anajitosheleza tatizo ni huyo mdomo mchafu ni kujifanya anajua kumbe ni cry baby tu mtoto wa tandale kwa mfuga mbwa...nyooo.
Samahani naomba uedit hiyo sentensi ya pili kutoka mwisho.
hilo siyo swali ni statement.Una mume JF?
hilo siyo swali ni statement.
Je, Hujaiona question mark?