Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Si ulisema unakaa kimya vipi tena hahahah
Yani mnataka wachawi wawapigie kura si ndo wanawaroga sasa. #freedomofchoice .
Si ulisema unakaa kimya vipi tena hahahah
Wa intaneshno wanalilia kupigiwa kura na Watanzania wapigiwe basi na nchi nyingne.
​Okay subiri kitimtim chaja mtaisoma namba nyambafff nyie,,.
Hakuna anayelilia kupiwa kura mnapoanza kuleta kampeni chafu mnataka tufanyaje?.tukae kimya?.
Bora hata mngesusa kabisa kujihusisha na mambo ya kura sio kuanza kukampenia adui wa Taifa letu halafu mnategemea wazalendo tukaee kimya hahahahah.
Msianze ku-relate na siasa za bongo ooh sio escrow wala ninii?.Huko kuna wanaharakati wake..
Wanaharakati wa entertainment hatuezi kufumbia macho upuuzi upuuzi wa wachache hivihivi.
Tunawaonya kama ndugu zetu muachane na huu ujinga ujinga.
Tatizo hawajielewi wanafuata mkumbo wanafuata upepo bila kujua uelekeo wake hawajiamini ni watu wa ovyo.
Wanaongozwa na mazoea mbaya zaidi wanafuata maelekezo ya mazezeta hahahahah .
Hamna kitu DAVIDO lazima tumpe kura kwa wingi ashinde kirahisi..
​duuuh na wewe si umejiunga leo tu hapa JF kuja kutetea jahazi la domondo...muelezeni kwanza huyo aache huo mdomo mchafu kama mbuzi then ndo mjee mumtetee huku otherwise imeshakula kwake DAVIDO tuu hamna cha uzalendo wala mavi yake na uzalendo hapa nyooooo.Ukute na wewe ulikuwa unashinda kumtukana Davido kwenye account zake halafu leo unakuja kusema unampigia kura...
Kwenye state interest keep down your hate,envy and ego.
Got it!!!!.
Hahaaaa kuna vituko wanatukana wewe na maneno ya shombo juu.
Wakitaka kura wanajifanya masilahi ya taifa.
Hahaaaa masilahi ya taifa ni ka swala LA escrow, uchaguzi hayo mengine ni minor issues.
Hahahaaaaaaa! Eti state interest, hili kaanze kulihubiri kule kwa mafisadi ukimaliza urudi huku, leo ndio mnajua state interest ati???
Hivi kweli watu wazima na degree zao wanaamuliwa na Wema kufanya maamuzi?...
Mtu mzima unaufuata utashi wa Wema kufanya maamuzi??...
Tanzania tumelaaniwa sana...
Ukute na wewe ulikuwa unashinda kumtukana Davido kwenye account zake halafu leo unakuja kusema unampigia kura...
We naweeee, wapi wema alianzisha hilo unaloliongelea!!! Mnatafuta mchawi bado tu!!! Alafu mnajifanya wazalendo ilhali bado mwawadharau watanzania wenzenu!!
Huko kwa mafisadi wako ukawa and company huku kwenye entertainment wapo wazalendo kama sisi.
Tunacheza ligi tofauti mfano EPL na la liga but zote zinahusu mpira(state interests).
Upo hapo.
Nadhani umejisoma.
Haya wazalendo kazaneni, hahahaaaaa!! Wazalendo bwana!
Atoto mtoto mzuri lakini mbishi kaaa hahahahah so ndo umenyoosha white flag au? Ndo bongo kibishibishi😀😀😀
Mie sina tatizo na mtu, kila mtu afanye kile nafsi yake inamtuma, msiwapangie watu mambo ya kufanya, alafu usijisahaulishe mie aoutlook yangu mbovuuuuuu na ni mchawi balaaaa, shaurilo
Kwani ulitegemea azungumzie kwa mdomo .yote mnafanya mmepokea maelekezo toka kwa wale mazezeta wenu.