GE2025 David Misime awatisha wanaohamasisha maandamano, asema siku hiyo hata kama utakuwa unapita tutakukamata, tuna picha zenu

GE2025 David Misime awatisha wanaohamasisha maandamano, asema siku hiyo hata kama utakuwa unapita tutakukamata, tuna picha zenu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
"Na niwaambie hata hao wametengeneza akaunti zao bandia, feki. Wanafikiri wamejificha sana huwezi kujificha kwenye hizi simu. Hivi vifaa vya kieletroniki vimefanya hata siri zetu ziwe hadharani.

Wengine tuna picha zao tukitembea mimi kwenye gari pale ninazo na nikiona mtu anaangalia hivi huyu mtu si anatafutwa hivyo na siku hiyo sasa kama wewe unahamasisha maandamano tukiwa na picha yako tukikuona ndio huyu hata kama ulikuwa unapita tu siku hiyo umesema bwana maandamano lazima tukukamate kwasababu si umeshatenda kosa. Kwa hiyo usifikirie kwamba uko salama sana. "
- Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime akizungumza kupitia kituo cha redio cha Bongo FM

 
nchi imefika pabaya sana , nchi imeshikwa na wajinga wasioona athari ya wayatendayo
"Na niwaambie hata hao wametengeneza akaunti zao bandia, feki. Wanafikiri wamejificha sana huwezi kujificha kwenye hizi simu. Hivi vifaa vya kieletroniki vimefanya hata siri zetu ziwe hadharani.

Wengine tuna picha zao tukitembea mimi kwenye gari pale ninazo na nikiona mtu anaangalia hivi huyu mtu si anatafutwa hivyo na siku hiyo sasa kama wewe unahamasisha maandamano tukiwa na picha yako tukikuona ndio huyu hata kama ulikuwa unapita tu siku hiyo umesema bwana maandamano lazima tukukamate kwasababu si umeshatenda kosa. Kwa hiyo usifikirie kwamba uko salama sana. "
- Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime akizungumza kupitia kituo cha redio cha Bongo FM
 
"Na niwaambie hata hao wametengeneza akaunti zao bandia, feki. Wanafikiri wamejificha sana huwezi kujificha kwenye hizi simu. Hivi vifaa vya kieletroniki vimefanya hata siri zetu ziwe hadharani.

Wengine tuna picha zao tukitembea mimi kwenye gari pale ninazo na nikiona mtu anaangalia hivi huyu mtu si anatafutwa hivyo na siku hiyo sasa kama wewe unahamasisha maandamano tukiwa na picha yako tukikuona ndio huyu hata kama ulikuwa unapita tu siku hiyo umesema bwana maandamano lazima tukukamate kwasababu si umeshatenda kosa. Kwa hiyo usifikirie kwamba uko salama sana. "
- Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime akizungumza kupitia kituo cha redio cha Bongo FM
Huyu mjinga amelipwa na Samia shilingi ngapi za hongo? Wenzake akina Murilo na Wambura wanachezea mabilioni tu. Ajulishwe kwamba Maandamano yana baraka zote za katiba ya nchi.
 
Huyu fundi friji hana analojua zaidi ya makelele
 
Back
Top Bottom