mataka yupi , mataka defao, atcl au ppf au yule anaye-cameroon watu kama uingereza?
siku moja yule kilaza kibonde alimsifia sana mattaka kwamba amefanya kazi na mamake na amefanya mambo makubwa npf na atcl sijui ataweka wap uso wake mzee wa kujipendekeza
...Watu wa hivi wako makini sana kwenye familia zao mkuu besides familia ndo beneficiaries wa kwanza wa ufisadi wao.....
Hata huyu mteule wa rais?
Mnamsingizia dobi tu kumbe kaniki ndio rangi yake. Kila shirika alilokaa aliliua una facts na hii hoja? PPF ipo! Hivi Matakka ndio aliliuza shirika kwa Makaburu? Hivi manakumbuka wakati analichukua shirika lilikuwa katika hali gani?
Nikiona mambo haya ndio huwa nasema heko Kikwete, mwenye macho haambiwi tazama.
mataka ni mhusika mkuu wa hii tread ,masaburi humu ni makal..., na cameroun alitaka kuhalalisha ushoga, na defao alipitiwa na huyu mataka na atcl shirika alilofilisi kwa kuwazia masaburi
Nikiona mambo haya ndio huwa nasema heko Kikwete, mwenye macho haambiwi tazama.
Nikiona mambo haya ndio huwa nasema heko Kikwete, mwenye macho haambiwi tazama.
le generale def defao hana hamu nae atii
na humu mjini kawaumiza majamaa
lukuki
natamani kesi impeleka segerea
ndo watamlipizia kisasi kulee
Masikini we bendi kinyaaaaya!
HUYU UONE SURA YAKE ILIVYOKAA:
zero
Comments
→ November 22, 2011 → Tags: Breaking News, Uncategorized →
Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL),David Mataka akitoka katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo ambapo alisomewa jumla ya mashitaka matatu likiwemo la kushindwa kutoa taarifa sahihi za matumizi ya vitu mbalimbali vya shirika hilo.
Bw.Mataka ameachiwa kwa Dhamana ya Sh. Mil.20 kutoka kwa wadhamini wawili tofauti ambao kila mmoja amemdhamini kwa sh.Mil. 10.
Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL),David Mataka akisindikizwa na askari Polisi wakati akitoka kwenye chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo alikosomewa mashtaka matatu likiwemo la kushindwa kutoa taarifa sahihi za matumizi ya vitu mbalimbali vya shirika hilo.
Picha na Francis Dande
Be Sociable, Share!
Read more: DAVID MATAKA MATATANI! - BongoCelebrity
Natamani siku moja ERIO wa PPF, Mmari, na Hosea Kashimba wakitoka kama huyu Mattaka. Erio alipindisha taratibu za PPF na kuwalipa wakurugenzi wake sita Tshs 1.2bilion na yeye kwa mwanya uleule akavuta Tshs 540Milioni.
Mbona wanamuonea Mattaka wakati aliyoyafanya PPF ndiyo Erio na wenzake wanafanya?
Ili kuzidi kuiba wamemfukuza Mhasibu mkuu. PCCB na Usalama wa Taifa kama mnataka kuwakamata walivyoiba mtumieni huyu Mhasibu Mkuu wa PPF 2008 ana data za ubadhilifu mkubwa.
Mattaka akiwa PPF alikuwa mwizi na Mzinzi na mkamerouni pia, mbaya zaidi alikuwa anawanyia baadhi ya wafanyakazi wanaume ofisini.
Erio William Mkapa naye karithi tabia ya UIZI na Uzinzi. Bado hatujasikia kama naye ni mtaalamu UDAVIDI ie ukameruni, naye huwafanyia ofisini wadada -eg Pricila Kiiza na Mlinzi wa mlangoni kwake aliyekuwa anaitwa mary, ofisi ina bafu ndani aliloliandaa David Mattaka.
Hatimaye Defao kafariki akiwa Cameroun baada ya shughuli zake, Mataka hatomsahauamuulize yaliyompata defao kwa david mataka, alishindwa hata kurejea kwao kwa wakati, (the david cameron!!)