Mkuu mie nadhani ungeandika kuhusu Ripoti ya CAG ningekupongeza sana kwani Mafisadi ndani ya Serikali Uliyomo wanapiga sana kodi za walalahoi
Na alisema alikuwa upinzani sababu ya ajenda kuu ya ufisadi hivo kaunga juhudi sababu ufisadi unashughulikiwa hadi kuna mahakama ya mafisadi sasa kulikoni yeye kuwa kimya kuhusu ripoti ya CAG ya Miaka miwili.