Shekaina Glory
Senior Member
- Jun 18, 2025
- 180
- 85
Katika kusheherekea sikuu ya X-Mass hivi ndivyo alivyoandika katika ukurasa wake wa X zamani Tweeter Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini kati ya Sekta ya Umma(Serikali ) na Sekta Binafsi (mtu au kampuni) PPPC Bwana David Kafulila amesema:-
Ni siku muhimu sana, hasa katika Ukristo. 🙏
Ni wakati wa kujitafakari, kuomba kwa dhati, na kuombea Taifa letu pendwa 🇹🇿
Tuombee Tanzania ivuke changamoto zote na iendelee kusonga mbele katika safari ya kujitafuta, kujijenga na kufikia haki, usawa na ustawi wa wananchi wake.
Pamoja tujenge Tanzania imara, yenye nguvu Afrika na duniani.
#Tanzania Moja na Imara
#MaombiKwaTaifa
#Umojawetu
#Amani yetu
#Maendeleo yetu
#TanzaniaKwanza
#AfricaRising
#Hope
Ni siku muhimu sana, hasa katika Ukristo. 🙏
Ni wakati wa kujitafakari, kuomba kwa dhati, na kuombea Taifa letu pendwa 🇹🇿
Tuombee Tanzania ivuke changamoto zote na iendelee kusonga mbele katika safari ya kujitafuta, kujijenga na kufikia haki, usawa na ustawi wa wananchi wake.
Pamoja tujenge Tanzania imara, yenye nguvu Afrika na duniani.
#Tanzania Moja na Imara
#MaombiKwaTaifa
#Umojawetu
#Amani yetu
#Maendeleo yetu
#TanzaniaKwanza
#AfricaRising
#Hope