David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

Huyu bibi harusi anaitwa kamanda Jesica David Kishoa.Ni mwanachadema mpambanaji sana.Kama unataka picha zaidi za uzuri wake ingia fb usearch hilo jina.

Katika picha nimeona pia Mwigulu na Mzee wa Maswa wameudhuria bali Mbatia sijmwona. Halafu binti yaelekea yeye ni Chadema sasa sijui wote watahamia ACT ama vipi
 

Namsikitikia sana huyo bi harusi.
 
Mkewe ni mwanaCHADEMA..Tipical UKAWA.

Uko sahii kabisa mkuu, kwani hilo halina ubishi kuwa "Jesca David Kishoa" ni kamanda mtiifu na shupavu wa chadema.
 

Attachments

  • JES1.jpg
    34.1 KB · Views: 1,474
  • JES3.jpg
    18.5 KB · Views: 523
  • JES5.jpg
    47 KB · Views: 527
Last edited by a moderator:
Mbona uso wa huyu dada umekomaa kama wa kafulila?

Mkuu amekomaaje? au macho yangu hayaoni?
Ila ndo inahitaji mtu mkomavu wa kifikra na kiakili wala sio uso.
Mtizame mtoto kwa mara nyingine kisha utaniambia kama kakomaa au la.
 
Angekuwa bado yuko CHADEMA ndoa angeisikia tu. Kule hakuna kuoa wala kuolewa.
 
si vizuri kumwita mtu tumbili hata kama iltokea mtu limtukana hivyo
 
Angekuwa bado yuko CHADEMA ndoa angeisikia tu. Kule hakuna kuoa wala kuolewa.

Ina maana wote huko ni wasela wa ghetto boyz??
tafadhari mkuu Zitto Kabwe et al njoo hapa jukwaani kuthibitisha hilo alilo sema mkuu MSALANI.
 
Last edited by a moderator:
mmmhhh... nadhani ataenda honey moon baada ya kumalizia ile ishu ya kuyaadhibu yale majizi yanayovaa vyuti.
mpe hongera zake mwabie
Marire anamsihi asiache kumalizia ngwe ya escrow alafu ndo aende honeymoon
MeinKempf
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…