Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
David Kafulila kuhamia NCCR
Kuna nyepesinyepesi kuwa yule sisimizi wa CHADEMA kuhamia NCCR MAGEUZi kama alivyodai yeye kuwa anahitaji kuleta mabadiliko ya kisiasa nchini.
ebu edit hilo neno mkuu, huyu ni mtu kama wewe, ana maamuzi yake na yeye sio wa kwanza, kwa lolote lile anabaki na utu wake kama mtu. unless kama una definition nyingine
Mods hii imakaaje?