johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Kichwa cha Uzi kinajieleza
Wakili Mwabukusi alikuwa Dereva wa Daladala Arusha na baadae akajiendeleza pale Open University na kutunukiwa degree ya Sheria.
Alifanya Kazi ofisi ya mwanasheria wa Serikali na alipoboreka aliacha Kazi kwa Notice ya saa 24 na kuilipa Serikali gharama.
Akarudi mtaani na akawa anafanya kazi na ofisi ya Mawakili ya Desouza kabla hajafungua kampuni yake.
Kisiasa amewahi Kuwa Mwanachama wa Chadema na alipoboreka alihamia NCCR Mageuzi ambako mwaka 2020 aligombea ubunge na kushinda ila akatangazwa Mbunge mwingine wa mchongo.
Mungu wa mbinguni awabariki!
Wakili Mwabukusi alikuwa Dereva wa Daladala Arusha na baadae akajiendeleza pale Open University na kutunukiwa degree ya Sheria.
Alifanya Kazi ofisi ya mwanasheria wa Serikali na alipoboreka aliacha Kazi kwa Notice ya saa 24 na kuilipa Serikali gharama.
Akarudi mtaani na akawa anafanya kazi na ofisi ya Mawakili ya Desouza kabla hajafungua kampuni yake.
Kisiasa amewahi Kuwa Mwanachama wa Chadema na alipoboreka alihamia NCCR Mageuzi ambako mwaka 2020 aligombea ubunge na kushinda ila akatangazwa Mbunge mwingine wa mchongo.
Mungu wa mbinguni awabariki!