David Kafulila ahamia NCCR Mageuzi akitokea CHADEMA

Wakuu
DAVID Kafulila yule jamaa aliyejivua uanachama CHADEMA na kuhamia NCCR amekataa kukabidhi kadi ya CHADEMA na kudai kwamba ni mali yake. Pamoja na kuktaa kukabidhi kadi hizo pia Kafulila alionekana amevaa sare ya CHADEMA kwa jina maarufu la kombati katika kikao na waandishi wa habari alipokuwa akikabidhiwa kadi ya NCCR.Alipohojiwa kwanini amevaa vazi la CAHDEMA alidai kwamba lile sio vazi la CADEMA bali ni mali yake.Kwa hali hii nina mashaka na kijana huyu huenda akawa ana siri nyuma ya pazia na bado anaipenda sana CHADEMA.
Pumzika kwa amani.

Kafulila bado anayo kadi na magwanda yake. Nashauri apewe cheo chake coz kwa sasa pamepwaya.
 
Kwa sasa katoka kwa Mbatia(mmchame) karudi kwa Mbowe (mmachame)...miaka inaenda mkuu, miaka saba kama siku saba (2009-2016).

..nilisema hivyo kwasababu akidai cdm kuna upendeleo wa wachaga dhidi ya makabila mengine.

..ndiyo maana nikauliza kama ameshindwa kufanya kazi na mchaga/mmachame atawezana na mchaga/mmrangu??

..vilevile ukumbuke hata huko nccr alipata matatizo na almanusra afukuzwe uanachama na kuvuliwa ubunge.
 
Back
Top Bottom