Wakuu
DAVID Kafulila yule jamaa aliyejivua uanachama CHADEMA na kuhamia NCCR amekataa kukabidhi kadi ya CHADEMA na kudai kwamba ni mali yake. Pamoja na kuktaa kukabidhi kadi hizo pia Kafulila alionekana amevaa sare ya CHADEMA kwa jina maarufu la kombati katika kikao na waandishi wa habari alipokuwa akikabidhiwa kadi ya NCCR.Alipohojiwa kwanini amevaa vazi la CAHDEMA alidai kwamba lile sio vazi la CADEMA bali ni mali yake.Kwa hali hii nina mashaka na kijana huyu huenda akawa ana siri nyuma ya pazia na bado anaipenda sana CHADEMA.