David Jairo wa IKULU


Ushahidi huo mrushie Tundu Lissu
 

Lazima waziri wake anajua,maana ni utaratibu waliojianzihia ili wapitishe bajeti zao.
 
Halafu watu wanakuja na kukandia JamiiForums, au Mitandao inachafua watu nk!!
Au wanakuja na hadithi ndefu ya "tulikuwa tunamjua huyo, ushahidi ninao"Ulikuwa wapi usiweke hapa jamvini? Mbona GT aliweka huu uzi long time!FF acha cheap popularity! Kama una ushahidi peleka kwa Hosea TAKUKURU, si ndo utaratibu siku hizi?
 
Au wanakuja na hadithi ndefu ya "tulikuwa tunamjua huyo, ushahidi ninao"Ulikuwa wapi usiweke hapa jamvini? Mbona GT aliweka huu uzi long time!FF acha cheap popularity! Kama una ushahidi peleka kwa Hosea TAKUKURU, si ndo utaratibu siku hizi?

Be careful Mkuu, kuna nyoka ana vichwa viwili - kuponda kichwa unachokiona hakukuhakikishii usalama !
 
Kuna kitu kinajionyesha wazi wazi kwenye kila skendo inayotokea lakini huwa watanzania wanakwepa kusema wazi wazi sijui ni woga. Kwenye issue ya Richmond alibanwa Lowassa peke yake lakini ukweli lile puzzle lisingekamilika bila JK. Mwakyembe akaishia kusema "wameogopa kuhatarisha usalama wa nchi". Kwenye skendo za Rostam (Kagoda etc) JK anajitokeza lakini anayevua gamba ni Rostam.

Kwenye rushwa anayetupiwa lawama ni Hosea na sio JK wakati w.leaks inaeleza kila kitu. Kamata kamata ya upinzani na mauaji, polisi ndio wanaobeba lawama wakati wao wanasema order ilitoka juu. Kwenye skendo ya Jairo barua inaonyesha wazi Raisi na Waziri wake walikua na taarifa; lakini anayepata kibano ni Jairo. Si hicho tuu, historia ya Jairo inaonyesha raisi ndie aliyemuweka hapo kama swahiba wa miaka mingi, na amekua anamkingia kifua on whatever decisions he made.

Hivi Tanzania tuna nini? Are we afraid of change or what? Huyu JK kwenye kila issue ndie common denominator, sasa kwanini asiondoke yeye maana ndie msuka deal mwenyewe then wengine wafuatie? JK aelewe tu kwamba hawezi kukimbia responsibility all the time, kwenye hii akimtosa Jairo kingine kitaibuka. Ameshaonyesha ni mbabaishaji, lakini miaka minne ni mingi sana kuishi kiujanja ujanja wakati roho za millions zinateketea kwa umaskini. Kuna watu wamekata tamaa na wamebakia kufunga na wengine kuomba dua ili Mungu amuadhibu; kuna wanaofikiria risky strategies zakumuondoa. No matter what, ni lazima atakuja kubanwa kwenye kona soon or later.

Ni afadhali angefikiria sasa kupanga timu upya ya mawaziri watakaoziba weakness zake kwakufanya kazi kwa ufanisi kwakuzingatia matatizo halisi ya wananchi, or else surrender. Kinyume na hapo sioni ni vipi anaweza kufika 2015 kwa ubabaishaji huu.
 
Hata mm nilishangaa nilipoona Obama na blackbery!au ni FFalitaka kutupotezea?

Big up JF!hii issue ya Jairo niliisomaga humu humu longtime ago!nashukuru leo nime refresh my mind!

We acha tu madudu ya huyu fisadi yalikuwa yameanikwa hapa siku nyingi tu, lakini bado alikuwa anapeta katika Serikali ya kifisadi na si ajabu anayajua mengi yaliyokuwa yanafanyika ili mafisadi wajitajirishe huku nchi ikiendelea kuwa gizani.
 
Yule Mama (Mbunge) aliyesema kwamba JF inachafua watu, anatakiwa afute kauli yake. Huu ni ushahidi tosha kwamba kuna madudu mengi sana ambayo yanaandikwa hapa jamvini na yana ukweli.
 
Samahani kidogo, KTK hawa wawili kwenye picha, Jairo ni yupi!
 
Aliyevaa miwani ndio Jairo mkono wa Kushoto

The Finest, Nakushukuru sana kwa kunijuza. Huyu jamaa kitambi kitaisha muda si mrefu, lakini kama nilivyowhishasema huyu ni muzi wa kafara. Haiwezekani akawa aliyafanya haya bila bosi wake kujua, na inawezekana haya yote yalikuwa na baraka za JK. We just have to wait and see! Thanks again!
 

"tusingeweza kufaidika na uwezo wako"
jakaya ana uwezo gani jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…