Ndio tatizo la kuendekeza urafiki kwenye kazi za serikali!! Huyu Jairo alianza na Jakaya toka wakiwa wizara ya Nishati; uhusiano wao wanaujua wenyewe, sasa kwenye Urais huyu bwana ndiye msaidizi wake wa karibu lakini kwa historia yao hata akiboronga vipi muungwana inamuwia vigumu kumchukulia hatua!! Huyu bwana ndiye anahusika na Jakaya kutoweza kuwaona wananchi wengi wanaotaka kuonana nae; hata pale rais anapowapa ahadi watu wakamuone ikulu huyu bwana hawapi nafasi hata kidogo!! Kwa vitendo vyake Hamsaidii muungwana.
..JK hawezi kumtupa Jairo hata siku moja.
..hawa wameshibana kwelikweli. wametoka mbali.
..Mtawa,Jairo,na JK, ni damu-damu.
NB:
..huu uteuzi wa Jairo kwenda Nishati na Madini unaweza kuwa ni njia ya JK kuamua ugomvi baina ya washikaji zake yaani Zungu na Jairo.
..sasa both Zungu na Jairo wako ktk vitengo vya ulaji na hakuna wa kumuingilia mwenzake.
zimevuja, david jairo kama katibu mkuu mpya wa wizara ya madini na nishati, mara tu baada ya kuwasili wizarani hapo, amekuta gari landcruiser nyeupe yenye mkonga ambayo ilikuwa imenunuliwa miezi mitatu na katibu aliyoendoka lakini yeye ameikataa ameagiza anunuliwe vx mpya. Hata baada ya kushauriwa kwamba gari lililopo ni zuri hasa ukizingatia nature ya kazi za wizara hiyo za kutembelea migodi lakini yeye amekomaa tu mpaka linunuliwe. Jamaani tumekwish hata agizo la pinda haliwaingii vichwani
Mbona alimtupa Lowassa?..JK hawezi kumtupa Jairo hata siku moja.
..hawa wameshibana kwelikweli. wametoka mbali.
..Mtawa,Jairo,na JK, ni damu-damu.
NB:
..huu uteuzi wa Jairo kwenda Nishati na Madini unaweza kuwa ni njia ya JK kuamua ugomvi baina ya washikaji zake yaani Zungu na Jairo.
..sasa both Zungu na Jairo wako ktk vitengo vya ulaji na hakuna wa kumuingilia mwenzake.
Hivi mshikaji wake Kikwete yule dogo Dim chapombe (baba yake alikuwa balozi wa siku nyingi, amefariki nadhani, the name escapes me) aliyekuwa amezibuka sana na lugha tofauti pale foreign yuko wapi siku hizi?
Au washampiga u first secretary ma-Urusi huko.Dogo alikuwa anaongea lugha at least sita, siku moja kaja Omar Bashir watu wa MOFA wakachachawa hawana mtu anayejua kiarabu kupiga naye story dogo akajitosa, alikuwa aristocrat mzuri ila pombe nyingi.
anaitwa nani huyo kijana?mara ya mwisho alikuwa ameshauriwa na dr aache pombe lakini yeye alikuwa anatembea na "konyagi za viroba" totopak kwenye suti.
nilimuaona kwenye kontena la pale jeshini mara ya mwisho
namjua kwa jina moja tu dimanaitwa nani huyo kijana?
MODS KICHWA CHA HABARI KIBADILIKE.
mbio za sakafuni................kanda2 kituna box sasa hiviii.kaa ulivosema...Aliyekuwa Katibu wa Rais Bwana David Jairo ambaye wiki iliyopita amechaguliwa kuwa Katibu mkuu wa wizara ya Nishati na Madini amekuwa akimtisha Mbunge wa Ilala Mussa Azzan maarufu kama Zungu ambaye ni mwenyekiti wa kamati inayoshughulikia majengo ya Machinga Complex.
Jairo anataka apewe kazi ya zabuni ya matangazo kwenye majengo hayo bila kufuata taratibu zinahusika.
David Jairo alipotakiwa kufuata taratibu kwa kampuni yake kuomba tenda kama kampuni nyingine amekuwa mbishi na kumtisha Zungu kuwa yeye(jAIRO) ni mtu wa karibu sana wa RAIS JK hivyo kama atakosa basi Zungu ajue kuwa kakalia kuti kavu.
Maswali kwa David Jairo kwani hajui kuwa IKULU Iko jimbo la Ilala ambako Zungu ni mbunge? Zungu ni mbunge wa Rais.
Na kama rais ana jambo lake atawasiliana na Zungu moja kwa moja sio wewe Jairo.
Zungu kachaguliwa na wananchi sio wewe Jairo,lakini lazima uelewe kuwa Majengo haya ni ya wamachinga wewe Jairo unataka nini? kwani wewe ni mmachinga?
Mheshimiwa Rais Mtizame kwa macho mawili Jairo anatumia vibaya jina lako.wewe ni rais wa watanzania wote wanaoweza kutuzidi kimapenzi kwako ni familia yako na watu wa jimbo lako la Chalinze walitupa fursa ya kukupata.kwani bila wao kukuchagua kama mbunge wao sisi kama watanzania tusingeweza kufaidika na uwezo wako.
Kama JAIRO anawatisha watu kwa vitangazo vya Machinga Complex na sasa umempeleka Madini na Nishati ikitokea dili za Richmond anaweza kuwa na roho ngumu na kutenda haki?
Shame on you Jairo.
Na yaliyotabiriwa JF yametimia, kudadeki Great Thinkers ni noma...du JF ni kiboko
Jairo mshikaji wake JK, wametoka mbali tangia enzi zao ufisadi nishati na madini wako pamoja hao, so msipoteze muda, hafukuzwi mtu hapo.