Dont trust these conservatives,good thing zile barbaric policy za kina Thatcher hazitapita under Cameron maana hawa liberal hawatampa nafasi
Conservatives oyeeeee...oyeeeee....na huu ndio mwanzo tu. Next is America....
Miafrika ndivyo ilivyo!!! Huyo kichaka alikaa miaka minane alifanya nini zaidi ya kuiharibu nchi na kuiacha katika hali mbaya katika historia ya nchi hiyo tangu ipate uhuru!?
Sijui hata unafagilia nini kuhusu maconservative ukichukulia jinsi walivyomuacha kichaka akiiharibu nchi kwa miaka minane bila hata kutia neno. Yule Blair naye akamuiga Kichaka naye wapiga kura wakamchukia vibaya sana hata hakumaliza kipindi chake kwa jinsi alivyochukiwa kwa kuiga sera za Kichaka.
Mwongo na mzushi mkubwa weee! Eti hali mbaya ktk historia ya nchi tangu ipate uhuru. Unataka kulinganisha hii financial crisis ya juzi na Great Depression? Na unataka kulinganisha hali hii ya juzi na kipindi cha Jimmy Carter? Kasome historia kwanza halafu uje tujadiliane.
Hivi kumbe Blair naye alikuwa Conservative eeeh...sikujua hilo. Asante kwa kunihabarisha.
Hujui maana ya kuiga tangu lini? Tafuta kamusi.
Kajifunze kwanza historia wee mburukenge
There you go again! LOL!
Anayetakiwa kusoma history ni wewe unayesifia maconservatives pamoja na miaka minane ya kichaka kuiacha nchi ikiwa katika hali mbaya sana kuliko kipindi chochote tangu ipate uhuru 1776.
mr cameron ana msafara wa gari tatu tu,anaendeshwa bila ving'ora ananasa kwenye foleni,anasubiri red light/junction kama mtu mwingine yeyote!!!hawa viongozi wetu sijui nani anawafanya wawe na msafara kama wa rais wa dunia!!!