Sio kila mtu maarufu anayekuja kutalii anatangazwa,mambo ya kutangazwa ni makubaliano ya mgeni kama atataka kutangazwa wengine hawapendi ,hata huko Kenya kuna maceleb kibao huingia na kutoka bila kutangazwa,hata mjukuu wa malikia wa uingereza kuna wakati aliweza kukaa hata mwezi huko Lewa bila watu kujua kama yupo KenyaHabari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.
Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.
Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
mbavu zanguwaulize wakazi wa kipawa waliiona hiyo ndeg wakat inakuja
Acha wivu ww ulitaka aje nyumban kwenu msaidiane kaz za ndani au?? Halaf ww huenda ukawa mkenya maana wakenya mna wivu kinyama na TizNdani ya 'Bongolala'
-Kaveli-
Yani mtu kaja kutalii privacy mnamtangaza ww na huyo mkikuyu wako anayekusapoti mnashidaTanzania bado inaushamba mkubwa kibiashara ukilinganisha Kenya!
we kweli pimbiKama kaja kutalii tu haina haja ya kumtangaza, acha ainjoi privacy na familia yake. Angekuja kwa madhumuni mengina kama vile kupromoti soka au ziara ya kikazi angetangazwa. kama kaja kimyakimya wacha akae kimyakimya na ataondoka kimyakimya. kwanza ni mtu wa kawaida tu, kuna wabongo wengi tu hawamjui wala hawajawahi sikia jina hili.
Chekesha sana mzee babahuyu si ndio alipokutana na JK pale santiago bernebeu wakati anacheza real mdrid JK alivyoenda kumsalimia na kumkaribisha bongo alisema haijui TZ mpaka alivyotajiwa mlima kilimanjaro....sasa nini kimemleta kama sio ufukunyuku na umbea...siku hizi hata hasikiki na mpira wake ulishaisha kitaaambo.....apite kushoto tu

kalale mshankunankuwe kweli pimbi
View attachment 518421
Nimependa hicho Ki-Englsih cha "enjoy your stay in a Tanzania" Hiki mbona kama cha Baba Bashite vile? Kazi yipoooooo!!!
Kiingereza bila tense hicho siyo grammatical!! Hiki Kiingereza chenu cha akina Bashite ni tatizo!! Hiyo sentence ni broken English kwisha habari!!Tatzo lako umezoea kingereza cha tense.