mtoto wa mjini
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 1,754
- 896
Kama nawaona vile Clouds 360 wakimpa interview
Anataka privacy ndo maana yeye pia hakutoa taarifa!Habari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.
Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.
Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
Kwani kuna ubaya??! Acheni unafiki na uzandiki
Nawe kila kitu unaona uvivu, sasa unatoa comment ya nini kama unaona uvivu?Nilimuona na nikampiga na ile sweet smile yake, na kumtajia jina alipachikwa enzi hizo. picha naona uvivu kurusha. Nilirushia wa karibu yangu hukoooo
Juu ya utaliiii, subirini Kenya waibe picha kutangaza yupo nchini kwao.
Hata siwasemi hao wa utaliii, wengi hawajui mengi. Wanabidi wajiongeze kijiditali pia hata kuwa na staff wanaofanya kazi fulani fulani...naona uvivu kuzitaja.
Mkuu hebu fafanua kidogo.Kama wangetangaza ujio wake ni kitu gani kingefanyika?Habari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.
Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.
Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
Inawezekana yeye ni mzee kuliko Beckham kutokana na ugumu wa maisha....Lakini bado ni celebrity mkubwa sana na mambo yakimwendea vizuri atakuwa owner wa timu USA muda si mrefu ujao.
Nawe kila kitu unaona uvivu, sasa unatoa comment ya nini kama unaona uvivu?
Kama kaja kutalii tu haina haja ya kumtangaza, acha ainjoi privacy na familia yake. Angekuja kwa madhumuni mengina kama vile kupromoti soka au ziara ya kikazi angetangazwa. kama kaja kimyakimya wacha akae kimyakimya na ataondoka kimyakimya. kwanza ni mtu wa kawaida tu, kuna wabongo wengi tu hawamjui wala hawajawahi sikia jina hili.
Kasha kwisha huyo. Sana anashangaa kaja tz hakuna hata wa kumshobokea. Bora hata angekuja manamziki wabongo wangeshtukahuyu si ndio alipokutana na JK pale santiago bernebeu wakati anacheza real mdrid JK alivyoenda kumsalimia na kumkaribisha bongo alisema haijui TZ mpaka alivyotajiwa mlima kilimanjaro....sasa nini kimemleta kama sio ufukunyuku na umbea...siku hizi hata hasikiki na mpira wake ulishaisha kitaaambo.....apite kushoto tu