Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.
Kwani alitoa taarifa kama anakuja ?Habari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.
Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.
Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
USHAURI MZURI SANA!Habari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.
Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.
Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
NaTANZANIA TUMEZUBAA TUNASUBIRI WAKENYA WAPOST KUWA ALIKUWA KWAO NDO TUJIFANYE tuna mind
itakuwa ni kuingilia privacy ya mgeni, labda mwenyewe akubaliane na hiloHabari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.
Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.
Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
Babie Kabae wa Clouds Tv ana weledi na uwezo mkubwa wa kufanya interview, hasa kwa kizungu. Niliona coverage yake na Rais wa World Bank, she's superb.Nadhani amekuja kutalii kama familia privately huwezi tena kwanza kufanya naye matangazo au sijui matamasha au makongamano.
Ila kwa waandishi watundu na wajanja wanaweza Hata kufanya naye appointment na Hata kufanya mahojiano na kituo kimoja cha TV akiwa ktk hotel yake alikofikia.
Ni nafasi pekee ya kuonyesha weledi wa taaluma ya uandishi na uwanahabari kwa ujio wa David Beckam
Kazeeka ndo anakuja huku shimoni
Babie Kabae wa Clouds Tv ana weledi na uwezo mkubwa wa kufanya interview, hasa kwa kizungu. Niliona coverage yake na Rais wa World Bank, she's superb.
Haaaa haaaInawezekana yeye ni mzee kuliko Beckham kutokana na ugumu wa maisha....