David Beckham yupo Tanzania

Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.
  • Vile vituko vya Kenya havifanywi na serikari bali hufanywa na wananchi, hivyo usizilaumu serikari za Tanzania tu laumu na wananchi (mtanzania mojamoja) kwa kutojibidiisha kuitangaza nchi yetu mithili ya Wakenya
 
Habari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.

Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.

Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
Kwani alitoa taarifa kama anakuja ?
 
Habari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.

Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.

Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
USHAURI MZURI SANA!
 
Beckham ni celebrity,yawezekana anaweza kuwapa masharti wenyeji wake kutotangazwa,kwasababu ya kibiashara otherwise pay him ili ujio wake uwe kama kivutio kwa wengine
 
Habari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.

Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.

Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
itakuwa ni kuingilia privacy ya mgeni, labda mwenyewe akubaliane na hilo
 
Nadhani amekuja kutalii kama familia privately huwezi tena kwanza kufanya naye matangazo au sijui matamasha au makongamano.

Ila kwa waandishi watundu na wajanja wanaweza Hata kufanya naye appointment na Hata kufanya mahojiano na kituo kimoja cha TV akiwa ktk hotel yake alikofikia.

Ni nafasi pekee ya kuonyesha weledi wa taaluma ya uandishi na uwanahabari kwa ujio wa David Beckam
Babie Kabae wa Clouds Tv ana weledi na uwezo mkubwa wa kufanya interview, hasa kwa kizungu. Niliona coverage yake na Rais wa World Bank, she's superb.
 
Babie Kabae wa Clouds Tv ana weledi na uwezo mkubwa wa kufanya interview, hasa kwa kizungu. Niliona coverage yake na Rais wa World Bank, she's superb.

Yule Rasta noma saaana!kwa sasa ndio anaiokoa ofisi yake kwa hard talk!
 
421601cf56d484ec92f843ca44a8b64a.jpg


d99ccf06f7850fe8289762b60458ec56.jpg



Hapa aisifia Tanzania

a21f6354e17a48c3a4bf7a48b46c0113.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom