Dating sites: Siko Hapa Kudate

Dating sites: Siko Hapa Kudate

Tusio elewa hizio App za dating tujuane, wengine tunaijua JF, na Facebook wasap na insta tumemaliza, sasa hizo app zote jaman unawezaje kuzimanage maana sometimes unakua bize hats ukitumiwa text kujibu shida,

Tupeane mbinu jaman mnawezaje kuwa na app nying kwenye cm na ukaweza kuzicontrol zote mm binafs cwez jaman
nipm no. Yako ntakufundisha
 
Ila angekuambia akuonyeshe for free ungekubali na usingemuambia kuwa zimejaa online?
Sa' ningekataa si ningepata dhambi, au?! Kwanza kukataa ingekuwa ni kinyume cha mila zetu za Kiafrika, ambazo mtu akikupa kitu hutakiwi kukataa!
 
Inakuwaje unakutana mtu kwenye dating site/app unajaribu "kueleweka" (kutongoza) kwake.

Yeye anakuambia yuko pale kuongeaongea tu (wenyewe wanaita kuchat) na watu na sio kwa mambo ya kudate (kutongozana).

Wakuu hii kitu imekaaje?

Je ni kweli mtu anaweza kujisajiri kwenye dating site eti ili aongeeongee tu?

Au huu ni ujasiriamali mpya unaolenga kupandisha dau la mtongozwaji.

NB: Wengi wao huko ni single mothers.
Kwa wabongo usikatae. Hata mimi nishawahi ona hili na kushangaa. Tena mwingine anandika kabisa kwenye profile kuwa hayupo kwa ajili ya kudate.
 
Inakera utie mtu nyege aingie gharama ..then ugome kutoa mchezo ahah lazima namna ifanyike kupoza machungu
Ila kweli huwa wanakera sana unagharamika nauli msosi, na allowance na ugwadu umepanda juu demu anaingia guest anaanza kuleta viswahili as if kaingia Shopping mall
 
Ila kweli huwa wanakera sana unagharamika nauli msosi, na allowance na ugwadu umepanda juu demu anaingia guest anaanza kuleta viswahili as if kaingia Shopping mall

Baharia huwa haturudi nyumaa juu ya hilo swala ..
 
Niliwai ingia na mtoto mmoja hotelini ..eti anasema hawezi fanya mapenzi, mara sijui kwenye simu maongezi ilikuwa utani

Nika mwambia unagonoka au unaweka 50,000 yangu apa then ikichumba tuache wazi ..nakupa dakika 10 za kufikiri nikatoka na kufunga mlango ahaha nilikuwa mtu yuko kwenye kitaulo[emoji39]

Wanapenda igiza
Aiseee ......badae ilikuwaje? Alionyesha ushirikiano?
 
Hiyo kwangu haina tofauti na kupiga punyeto! Na kama naweza kupiga punyeto for free, why should I pay 50K for something that I can access for free! Ndo siku moja nipo kwenye my dating.app, mdada akani-text eti anaweza kunionesha her nude photos for 10K!! Nikamuuliza why should I pay you to see your nude photos wakati nude photos zimejaa online na gharama ni bundle tu!!! Hakurudi!
Hawa mabinti mda mwingine,wanajipa sifa wasizostahiri na kuwaona wanaume mapoyoyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom