Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,093
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka maana na mimi enzi za ujana nilishawahi kufanya hivi, ila yule hakuniambia tunaenda wapi nilishtukia tu tumefika eneo la tukio
Ahaha ukakosa plan B ikabidi tuu iwe hivyo hivyo ,sema sometimes nyie mkiambiwa leo kuna tukio inakuwa wadogo na mnaanza kuchenga. Mfano huyo mtu wako angekuambia mapema, je ungeitikia wito?.