Dating mpopo!

Dating mpopo!

4X4byfar

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
201
Reaction score
22
Jamani ndgu zangu habarini,

Nimetokea kupendwa na mpopo mmoja kijana wa makamo hivi. He is younger than me like 6yrs hv! I wish to fall kwake pia ila naogopa. I wish to know his whereabouts ila anaonekana kuwa msiria sana. Yeye anadai anataka mke wa kuishi nae. Tuko kwenye date for more than a month now ila hatuja Do mpaka sasa. Ss anaonekana kuchoka na mimi kwa ajili sitaki ku DO nae mpaka nimjue vizuri. Hivi ni kama ni mume wa kweli siatanisikiza. Je ni lazima ku DO ndo ishara ya kumuonyesha kuwa unampenda? Wanaume nisaidieni na mawazo yenu ya kiume. :help:
 
Atakuvua chupi then akuache, jamaa ana gear za kitambo kweli eti anataka mke. Siku hizi hata huo msimamo wako baadhi tunaukubali ila siku ambayo haina jina utatafunwa bila kutegemea.

Akili za kuambiwa na huyo New wako changanya na za kwako.
 
uwoga wako ndo umaskini wako....wakati mwingine mkido ndo inaleta hamu ya kuwa pamoja.....me i hate those women who are playing hard to get bt then i hate those who are easy to get...
 
Jamani kaka zangu mbona mnakuwa wakali kama mbogo, sin:bored:mekuja kuuliza tuu kama dada yenu! Kwani hampendi mashemeji kutoka nchi zingine? Kuuliza sio ujinga, mwenye nia ya kunisaidia atanisaidia na mawazo.
 
uwoga wako ndo umaskini wako....wakati mwingine mkido ndo inaleta hamu ya kuwa pamoja.....me i hate those women who are playing hard to get bt then i hate those who are easy to get...
Thanks kwa jibu lako zuri kakangu, na ndo maana mimi nachanganyikiwa kama nimpe au la. Mpaka sasa ameshasema ni vyema tuwe tuu marafiki kama zamani. Ila roho inauma maana ntamkosaa:love:
 
Jamani kaka zangu mbona mnakuwa wakali kama mbogo, sin:bored:mekuja kuuliza tuu kama dada yenu! Kwani hampendi mashemeji kutoka nchi zingine? Kuuliza sio ujinga, mwenye nia ya kunisaidia atanisaidia na mawazo.

wewe mpe tu huyo mpopo..
tukikushauri vinginevyo utaona tuna wivu
we mpe ndo utamjua vizuri
 
wewe si 4 by 4 by far?
sasa waogopa nini?
pita tu barabara zote
usiogope mashimo lol

Asante the boss, hio ni icon ya jinsi mwili wangu ulivyo sio character. Kama ningekuwa siogopi nisingekuwa hapa.
 
Yeye anapokutangazia kukuoa anakujua?
maana inaonekana wewe humjui vizuri mpaka huwezi kumpa mzigo
sasa wewe hujiulizi yeye anapata wapi ujasiri wa kukuoa kabisa wakati hakujui vizuri!!!
anataka mzigo tuu huyo apite
kama vp mpe, afterall wote mtaenjoy......
ama anataka apime asije uziwa mbuzi kwenye gunia...
mpe tuu mwaya.
 
Jamani ndgu zangu habarini,

Nimetokea kupendwa na mpopo mmoja kijana wa makamo hivi. He is younger than me like 6yrs hv! I wish to fall kwake pia ila naogopa. I wish to know his whereabouts ila anaonekana kuwa msiria sana. Yeye anadai anataka mke wa kuishi nae. Tuko kwenye date for more than a month now ila hatuja Do mpaka sasa. Ss anaonekana kuchoka na mimi kwa ajili sitaki ku DO nae mpaka nimjue vizuri. Hivi ni kama ni mume wa kweli siatanisikiza. Je ni lazima ku DO ndo ishara ya kumuonyesha kuwa unampenda? Wanaume nisaidieni na mawazo yenu ya kiume. :help:

Sasa wewe huoni raha kuwa na serengeti boy? mpe tu hako kakitu
 
Jamani ndgu zangu habarini,

Nimetokea kupendwa na mpopo mmoja kijana wa makamo hivi. He is younger than me like 6yrs hv! I wish to fall kwake pia ila naogopa. I wish to know his whereabouts ila anaonekana kuwa msiria sana. Yeye anadai anataka mke wa kuishi nae. Tuko kwenye date for more than a month now ila hatuja Do mpaka sasa. Ss anaonekana kuchoka na mimi kwa ajili sitaki ku DO nnkumuonyesha kuwa unampenda? Wanaume nisaidieni na mawazo yenu ya kiume. :help:

ujiandae kwa kumpa uraia.safari za brazil.mikopo kwenye mabenki atakutumia ipasavyo kisha anasepa
 
Back
Top Bottom