Data bundle Tanzania

Mie GB 1.5 za tigo zinanitosha sana kwa sababu sio mtu wa kuangalia angalia video sana,huwa naperuzi mara nyingi

Nazipata kwa sh 5000 tu kwa week
😂😂 Dah! Wewe wamekuweka kitengo Cha "MUFILISI" na watakufilisi tu! Hebu fanya uje halotel hiyo 5000 utapata gb 7 wiki...
 
😂😂 Dah! Wewe wamekuweka kitengo Cha "MUFILISI" na watakufilisi tu! Hebu fanya uje halotel hiyo 5000 utapata gb 7 wiki...
😂😂😂😂😂
Halotel wasumbufu wanataka kitambulisho cha NIDA kwenye usajili,mi nina namba tu
 
Mie GB 1.5 za tigo zinanitosha sana kwa sababu sio mtu wa kuangalia angalia video sana,huwa naperuzi mara nyingi

Nazipata kwa sh 5000 tu kwa week
Duh kweli tgo hawaelewek watu wengine wanapata GB2 kwa 1500/week
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…