kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,148
- 2,780
Mbona inasemekana mkuu wa walinzi wa kampuni keshaanza likizo ya kustaafu?Mkutano Mkuu haukua Na lengo la kubadilisha kitabu, ulikua Na lengo la kurudisha watu Wa tabasamu. Muvi inaandaliwa uchaguzi Wa baadae mwaka huu. Hapo Kutatokea cheche. Mkurugenzi Mpya sio mjinga kihivyo japo wamemuweka mtu kati lakini vitufe vipo mikononi mwake. Nafasi itajitokeza tu halafu atabadili upepo hawataamini. Bado rungu la ukurugenzi ni kubwa mno hata kama kazungukwa Na mbwa mwitu. Kila mtu anaprice yake kasoro Simba halisi wa kabila la Yuda. Halafu Mkuu Wa Walinzi yupo upande Wa mkurugenzi so bado anasapoti kwenye bodi. Ila nyuzi zinanyofolewa haraka mno. Hii ni riwaya tu.