Dark days 17/03/20

msitegemee kuombwa samahani au kutumka kwa lugha ya kuwapooza kwa yaliyotokea!!

"Mtasahau" ndio msemo mkuu
Nilichogundua nikuwa huyu yoga yeye anatoa up-date ya kinachoendelea huko chumbani na ukiangalia kwa makini kweli hakuna namna neno la faraja linaweza toka kwasababu kama ni la kutoka lingetoka siku ya uapisho au siku ya kumuapisha AG

Hata hivyo, kama msemo wao mkuu ni "watasahau" basi wangefanya kweli kusahaulisha kwa kuanza na kuwaachilia watoto wote waliokamatwa kisha waachane na mpango wa kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA

Kama haya hayafanyiki, watasahaujie yaliyotokea sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…