Dark days 17/03/20

Eti Yoga mabakamabaka top Leaders trilioni 3 zilitembwezwa nchi zima?
Je ni kweli kiongozi aliyekataa alichezea shaba papo papo?
 
They are not safe, and they won't be
 
Pikipiki, baiskeli, marushwa makubwa makubwa , kununua watu ili wawasaliti wenzao,

kununua mamluki, je hizo fedha ni za kwenye kodi nchi au waliotoa hela zao binafsi na baada ya kuukalia usukani ni kupewa rasilimali ili kurudisha gharama na faida juu?
For the time being kibri, majivuno and pain to citizens!! Get ready bumpy road ahead
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…