Dark days 17/03/20

Wadau wa huu uzi hivi stori imefikia wapi?
Mimi niliishia katika stori za mwendazake
Huu Uzi utakuwa hai mpaka pale agano litakapotimia,yes July ndo hii Sasa..term ya kutimiliza yote yaliyonenwa na kuandikwa kwamba hayana budi kutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…