Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
Ajali ya Juzi Mbeya iliyohusisha bus kuwagonga wanafunzi waliokuwa wanakimbia barabarani imeondoa vijana wetu 6 na wengine majeruhi. Ajali hii imetokea alfajiri tarehe 26.07.2025
Ajali kama hii ilitokea Mtwara ilihusisha school Bus kuingia mtaroni na kusababisha wanafunzi 8 kufariki na mwalimu 1 na dereva 1 kufariki. Ajali hii ilitokea siku kama hiyo alfajiri ya tarehe 26.07.2022
Itakumbukwa pia wanafunzi wa Sabodo January 2014 wakati wanakimbia mchakamchaka asubuhi waligongwa na gari na kusababisha vifo vya wanafunzi 4 hukohuko Mtwara.
Hizi ni tarehe mbaya kwa historia za ajali Tanzania. Tuendelee kuchukua hatua za tahadhali hasa kufanya mazoezi kwenye kingo za barabara.
Ajali kama hii ilitokea Mtwara ilihusisha school Bus kuingia mtaroni na kusababisha wanafunzi 8 kufariki na mwalimu 1 na dereva 1 kufariki. Ajali hii ilitokea siku kama hiyo alfajiri ya tarehe 26.07.2022
Itakumbukwa pia wanafunzi wa Sabodo January 2014 wakati wanakimbia mchakamchaka asubuhi waligongwa na gari na kusababisha vifo vya wanafunzi 4 hukohuko Mtwara.
Hizi ni tarehe mbaya kwa historia za ajali Tanzania. Tuendelee kuchukua hatua za tahadhali hasa kufanya mazoezi kwenye kingo za barabara.