M Mr-Africa Member Joined Sep 25, 2012 Posts 23 Reaction score 3 Oct 17, 2012 #1 mkono ukikuwasha n dariri ya kupata pesa,na kalio likikuwasha n dariri ya nin
EXTERMINATOR JF-Expert Member Joined Sep 8, 2011 Posts 343 Reaction score 90 Oct 17, 2012 #2 utakalia kigogo
Kertel JF-Expert Member Joined May 11, 2012 Posts 5,701 Reaction score 5,630 Oct 17, 2012 #3 Unawashwa kalio,hiyo ni dalili kuwa utakunwa muda si mrefu
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,302 Reaction score 96,516 Oct 17, 2012 #4 "Dariri" ndio dalili ya mvua ni mawingu, au?
S SHERRIE Member Joined Mar 22, 2012 Posts 76 Reaction score 19 Oct 17, 2012 #5 Asprin said: "Dariri" ndio dalili ya mvua ni mawingu, au? Click to expand... teh teh teh, mi nilijua ni matamshi tu kumbe hadi kuandika? Hiyo itakuwa ni dalili ya kutokea pande zile za "geshi ra porishi"
Asprin said: "Dariri" ndio dalili ya mvua ni mawingu, au? Click to expand... teh teh teh, mi nilijua ni matamshi tu kumbe hadi kuandika? Hiyo itakuwa ni dalili ya kutokea pande zile za "geshi ra porishi"
Mungi JF Gold Member Joined Sep 23, 2010 Posts 16,975 Reaction score 9,580 Oct 17, 2012 #6 Mr-Africa said: mkono ukikuwasha n dariri ya kupata pesa,na kalio likikuwasha n dariri ya nin Click to expand... Kalio la mwanamke au la mwanaume?
Mr-Africa said: mkono ukikuwasha n dariri ya kupata pesa,na kalio likikuwasha n dariri ya nin Click to expand... Kalio la mwanamke au la mwanaume?
Heart JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 2,673 Reaction score 1,714 Oct 17, 2012 #7 mmmh....minyoo hiyo si bure!
Bishop Hiluka R I P Joined Aug 12, 2011 Posts 7,150 Reaction score 14,724 Oct 17, 2012 #8 Mmh, kwani ulipowashwa nini kilitokea?...
A aduwilly JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 1,191 Reaction score 320 Oct 18, 2012 #9 kwa huwa siyo kweli kuwa mkono ukiwasha ni dalili ya kupata pesa, then kuwashwa kwa kalio haku-imply chochote kile
kwa huwa siyo kweli kuwa mkono ukiwasha ni dalili ya kupata pesa, then kuwashwa kwa kalio haku-imply chochote kile