General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Kampuni ya kusindika pombe ya Kiasili Darbrew maarufu kama Chibuku iliyopo Ubungo imesitisha uzalishaji wa pombe hiyo tangu mwezi huu kutokana na gharama za uzalishaji kuwa juu na soko kudorora.
Darbrew ni kampuni inayomilikiwa na TBL 60% na halmashauri ya jiji 40%.
Tayari asilimia 80% ya wafanyakazi hao wameshapewa barua ya kuachishwa kazi na kupewa malipo yao.
Ikumbukwe kuwa Kampuni hii ni moja ya kampuni 10 zilizokuwa zinaongoza kwa ulipaji wa kodi mzuri nchini.
Rejea:
Dar Brew (Chibuku) yapunguza wafanyakazi 60 - JamiiForums
Zubaa uliwe: Chibuku inalipa kodi kubwa zaidi ya dhahabu na makampuni ya simu - tz yetu noma - JamiiForums
Darbrew ni kampuni inayomilikiwa na TBL 60% na halmashauri ya jiji 40%.
Tayari asilimia 80% ya wafanyakazi hao wameshapewa barua ya kuachishwa kazi na kupewa malipo yao.
Ikumbukwe kuwa Kampuni hii ni moja ya kampuni 10 zilizokuwa zinaongoza kwa ulipaji wa kodi mzuri nchini.
Rejea:
Dar Brew (Chibuku) yapunguza wafanyakazi 60 - JamiiForums
Zubaa uliwe: Chibuku inalipa kodi kubwa zaidi ya dhahabu na makampuni ya simu - tz yetu noma - JamiiForums